Kutokana na mambo mengi makubwa ya mageuzi ya kijamii na kiuchumi hapa nchini. Ninashauri itengwe siku moja na kuitwa MKAPA DAY mfano siku ya Utumishi wa Umma- Public Service Day, hii ni kumuenzi kutokana na mageuzi na maboresho aliyoyaasisi kwenye Utumishi wa Umma miaka ya 1995-2005.
Hayo ni mawazo tu ya mtu mzalendo na aliyeguswa na msiba huu.
Hayo ni mawazo tu ya mtu mzalendo na aliyeguswa na msiba huu.