USHAURI: Tuuze Mikoa mitano kwa nchi za America na Europe tupate fedha za maendeleo

Me nashaur tusiuze ila tujitenge kikanda yaan hizo kanda zijulikane kama nchi huru nakila kanda iwe nasheria zake narais wake naukitoka kanda moja kwenda iwe kama unatoka tz kwenda Kenya au nchi nyingine yoyote
 
  • Thanks
Reactions: 999
Habarini wakuu!
Tanzania tuna rasilimali nyingi kama madini,mbuga za wanyama,misitu pamoja na eneo kubwa la nchi kavu,nashauri Watanzania tuuze mikoa kama mitano kwa wenzetu wa ulaya watupatie fedha naimani zitaendeleza mikoa itakayo baki kwa kiwango kikubwa
Nawasilisha.

Hoja yako imelalia wapi au imeegemea wapi (theory au model)?
 
dawa ni mikoa ya kaskazini tujitenge zetu sisi tuwe nchi huru na Zanzibar nao wajitenge alafu hao wengine ndo wajipange
Jaribuni hilo, hiyo mikoa mingine nayo inatamani hayo hayo mnayoyatamani ninyi na wanahisi umaskini wao unatokana na uwepo wenu kwao na janjajanja zenu. Kwani hujui kama kanda ya Mtwara wana Makonde Empire au?

Je hiyo mikoa ya kaskazini itaweza kuwabeba nyote wakaskazini mliotawanyika kwenye mikoa mingine au unajidanganya nje ya Tanzania kutakuwa na mchaga wa Simiyu au Morogoro? Kanuni ya asili haiko hivyo. Mtatimuliwa tu, hata kama ulishaoa na kujijenga huko. Fikiri kabla kulopoka.
 
Khaaaaaa una hennessy apo pemben?maana huo ushaur si haba n added
Kama tuna kila kitu na tumeshindwa kutumia bas tuuze sehemu ya ardhi yetu ili tuweze pata pesa ya maendeleo mengine...

Nchi za africa bhana tuna kila kitu lakin bado maskin sijui ni curse
IMG-20170219-WA0014.jpg
 
Me nashaur tusiuze ila tujitenge kikanda yaan hizo kanda zijulikane kama nchi huru nakila kanda iwe nasheria zake narais wake naukitoka kanda moja kwenda iwe kama unatoka tz kwenda Kenya au nchi nyingine yoyote
Na kila kanda iwe na raia wa asili kabisa, mfano wagogo walioko Moro warudi kwenye kanda yao ya kati kwa kuanzia. Then, kila nchi ijitengenezee upya utaratibu wa kujipatia uraia ktk taifa lake, itakuwa poa sana. Unaonaje hapo Mkuu?

Haya si mawazo mapya ktk nchi hii, yapo tu vichwani mwa wengi tena ktk kanda zote. Unahisi wenyeji wa Morogoro wanapenda kuishi pamoja na wamasai au hamlijui hilo? Wale wakaragwe wanaotengwa nao? Taifa la Tanzania bado changa Sana, ukabila, ukanda, udini hauna hata nchi moja toka usawa wa ngozi zetu.

Haya mahubiri na yaendelee tu, tuyapasishe kizazi hata kizazi, kama si leo kesho itafika.
 
Na kila kanda iwe na raia wa asili kabisa, mfano wagogo walioko Moro warudi kwenye kanda yao ya kati kwa kuanzia. Then, kila nchi ijitengenezee upya utaratibu wa kujipatia uraia ktk taifa lake, itakuwa poa sana. Unaonaje hapo Mkuu?

Haya si mawazo mapya ktk nchi hii, yapo tu vichwani mwa wengi tena ktk kanda zote. Unahisi wenyeji wa Morogoro wanapenda kuishi pamoja na wamasai au hamlijui hilo? Wale wakaragwe wanaotengwa nao? Taifa la Tanzania bado changa Sana, ukabila, ukanda, udini hauna hata nchi moja toka usawa wa ngozi zetu.

Haya mahubiri na yaendelee tu, tuyapasishe kizazi hata kizazi, kama si leo kesho itafika.
Dah nihatar mkuu
 
Me nashaur tusiuze ila tujitenge kikanda yaan hizo kanda zijulikane kama nchi huru nakila kanda iwe nasheria zake narais wake naukitoka kanda moja kwenda iwe kama unatoka tz kwenda Kenya au nchi nyingine yoyote
Wakati wewe unaleta mawazo ya kujitenga kikanda,yaani kuigawa nchi moja,wenzako wanawaza kuziunganisha nchi zao na nchi zingine ili kua na nguvu zaidi kuanzia kiuchumi mpaka kiulinzi,mfano mzuri ni muungano wa EU.
 
Habarini wakuu!
Tanzania tuna rasilimali nyingi kama madini,mbuga za wanyama,misitu pamoja na eneo kubwa la nchi kavu,nashauri Watanzania tuuze mikoa kama mitano kwa wenzetu wa ulaya watupatie fedha naimani zitaendeleza mikoa itakayo baki kwa kiwango kikubwa
Nawasilisha.
Wazo lisilowezekana.... Hio mikoa itauzwa na wakaazi wake au unaona itakuwaje.
 
Wakati wewe unaleta mawazo ya kujitenga kikanda,yaani kuigawa nchi moja,wenzako wanawaza kuziunganisha nchi zao na nchi zingine ili kua na nguvu zaidi kuanzia kiuchumi mpaka kiulinzi,mfano mzuri ni muungano wa EU.
Mkuu sisi tulishashindwa labda tukijitegemea kikanda tunaweza kubalance mapato nakupiga hatua kadhaa zakimaendeleo
 
Mm nahisi mikoa itakayouzwa kwa waeuropean itakuwa na kasi kubwa kimaendeleo kuliko itakayobaki mikononi.Hii ni hatari kukuta tena mnatamani muongeze tena mitano hatimaye kujikuta mmeyza yote na wa mwisho kukosa sehemu ya kupanga.
 
Pesa zote ambazo zimemwagwa katika nchi hii na hakuna hayo maendeleo unafikiri ukiiuza hiyo mikoa ndio itatukomboa? Tatizo letu si pesa, bali akili zetu.
 
Mnataka tuuze mara ngapi?

Sema hujui ni nini na nini kiumeuza!

Otherwise unataka kuuza mara ya pili..
 
  • Thanks
Reactions: 999
Back
Top Bottom