Marathon day
JF-Expert Member
- Jan 31, 2020
- 562
- 835
Ndugu zangu kutokana na wingi wa abiria wa usiku, na uchache wa mabasi yafanyayo safari mda wa usiku, kuepuka ajali kama ya Costa ya Morogoro jana, napendekeza TRA waweke tozo ya gari ndg (IT) kulipia tsh 30,000/; na gari Kama Noah tsh 50,000/ Costa tsh 80,000/; wapewe kibali kupakia abiria, badala kwenda Bure na kuacha abiria.
TRA Wangekusanya pesa nyingi ajabu, nijuavyo kwa siku Kun gari takribani 80+kwa siku, piga hesabu kwa mwezi na mwaka angekusanya kiasi gani? Sababu swala la kupakia abiria kwa it haliepukiki kutokana na wingi wa abiria, matokeo yake pesa hizi zinaishia kwa polisi barabarani.
Wote tunaona kinachoendelea. Kama inawezekana pick up kulipia C65 na kubeba mizigo kwa IT inashindikana nini kwa abiria? Polisi wasimamie mwendo Kasi na makosa mengine, la kupakia waliache kwa TRA, hakika tungeongeza MAPATO ya nchi yetu na kutoka kipato kwa vijana wetu.
Muheshimiwa Mwigulu liangalie hilo.
TRA Wangekusanya pesa nyingi ajabu, nijuavyo kwa siku Kun gari takribani 80+kwa siku, piga hesabu kwa mwezi na mwaka angekusanya kiasi gani? Sababu swala la kupakia abiria kwa it haliepukiki kutokana na wingi wa abiria, matokeo yake pesa hizi zinaishia kwa polisi barabarani.
Wote tunaona kinachoendelea. Kama inawezekana pick up kulipia C65 na kubeba mizigo kwa IT inashindikana nini kwa abiria? Polisi wasimamie mwendo Kasi na makosa mengine, la kupakia waliache kwa TRA, hakika tungeongeza MAPATO ya nchi yetu na kutoka kipato kwa vijana wetu.
Muheshimiwa Mwigulu liangalie hilo.