USHAURI: TRA wawatumie TANESCO kama mawakala wa kodi ya majengo

chiembe

JF-Expert Member
May 16, 2015
11,983
20,634
Kodi hii inatozwa kwa kila jengo lililoko mjini na mjini majengo mengi yana umeme

Nashauri TRA wawatumie Tanesco kama mawakala wa kuwakusanyia kodi ya majengo

Unapoanza mwaka wa fedha ili luku yako itimie, basi jazia na elfu kumi na kitu za majengo

Hii itapunguza usumbufu na itaifanya serikali ipate kodi kwa wakati na mapema na itapunguza gharama za kuikusanya kwa wote wananchi na serikali
 
Changamoto itakuwa kwenye zile nyumba ambazo hazijawa connected na umeme
 
Na vipi wenye luku zaidi ya moja katika jengo moja? Av luku zaidi ya moja zenye jina moja watu hawawez tumia ujanja kufanya udanganyifu? Ila ni wazo zuri hasa kwa mijini
 
Na vipi wenye luku zaidi ya moja katika jengo moja? Av luku zaidi ya moja zenye jina moja watu hawawez tumia ujanja kufanya udanganyifu? Ila ni wazo zuri hasa kwa mijini
Lazima kutakuwa na Luku ya mmiliki wa nyumba au atalazimika kuiambia TRA luku ipi itatumika kulipia kodi

Inakuwepo database ya mtaa kata wilaya Mkoa na taifa
 
Kodi hii inatozwa kwa kila jengo lililoko mjini na mjini majengo mengi yana umeme

Nashauri TRA wawatumie Tanesco kama mawakala wa kuwakusanyia kodi ya majengo

Unapoanza mwaka wa fedha ili luku yako itimie, basi jazia na elfu kumi na kitu za majengo

Hii itapunguza usumbufu na itaifanya serikali ipate kodi kwa wakati na mapema na itapunguza gharama za kuikusanya kwa wote wananchi na serikali

This is clever suggestion. Lakini, baseline survey ya properties inahitajika kabla ya ku- waengage TANESCO!
 
Kodi hii inatozwa kwa kila jengo lililoko mjini na mjini majengo mengi yana umeme

Nashauri TRA wawatumie Tanesco kama mawakala wa kuwakusanyia kodi ya majengo

Unapoanza mwaka wa fedha ili luku yako itimie, basi jazia na elfu kumi na kitu za majengo

Hii itapunguza usumbufu na itaifanya serikali ipate kodi kwa wakati na mapema na itapunguza gharama za kuikusanya kwa wote wananchi na serikali
Mshkaji wewe ni kichwa! Sio hao wanaowaza ngono tuu! I hope watazingatia hili from next yr...
 
Wangetakiwa watengeneze mfumo tulipie kwa simu tuu kwa kutuma namba zetu za TIN kwenda namba fulani ya TRA then amount baaassss kuliko kupanga foleni hivyoo. Hawa jamaa hawataki kutumia teknolojia kabisa. Haya wazo lingine hilo la luku nalo bora kabisa
 
Wangetakiwa watengeneze mfumo tulipie kwa simu tuu kwa kutuma namba zetu za TIN kwenda namba fulani ya TRA then amount baaassss kuliko kupanga foleni hivyoo. Hawa jamaa hawataki kutumia teknolojia kabisa. Haya wazo lingine hilo la luku nalo bora kabisa
Kweli mkuu,lazima tupate mfumo rafiki wa ulipaji kodi
 
Kodi hii inatozwa kwa kila jengo lililoko mjini na mjini majengo mengi yana umeme

Nashauri TRA wawatumie Tanesco kama mawakala wa kuwakusanyia kodi ya majengo

Unapoanza mwaka wa fedha ili luku yako itimie, basi jazia na elfu kumi na kitu za majengo

Hii itapunguza usumbufu na itaifanya serikali ipate kodi kwa wakati na mapema na itapunguza gharama za kuikusanya kwa wote wananchi na serikali
Kwani unafikiri TANESCO watafanya hiyo kazi bure? Lazima watadai malipo/kamisheni.
 
Kodi hii inatozwa kwa kila jengo lililoko mjini na mjini majengo mengi yana umeme

Nashauri TRA wawatumie Tanesco kama mawakala wa kuwakusanyia kodi ya majengo

Unapoanza mwaka wa fedha ili luku yako itimie, basi jazia na elfu kumi na kitu za majengo

Hii itapunguza usumbufu na itaifanya serikali ipate kodi kwa wakati na mapema na itapunguza gharama za kuikusanya kwa wote wananchi na serikali
Genious, sema tanesco wa enhance database.
 
Back
Top Bottom