Freightliner
JF-Expert Member
- Aug 22, 2013
- 720
- 522
Wataalamu naomba kujua hili tatizo la kucheua linanikumba mara kwa mara hasa nikila vitu kama nyama yaaani nikiitafuna na kumaliza kula baada ya muda mfupi naanza kucheua na kurudi mdomoni poa baadhi ya matunda pia vivo hivyo naomba kujua tatizo hili shida yake ni nini haswa!!!
ASANTE
ASANTE