witzone2
JF-Expert Member
- Jan 14, 2022
- 780
- 1,633
Haya mataa mmeyaweka kwa lengo zuri. Lakini ni hatari sana kila siku husababisha ajali ya magari kufeli break. Mteremko wa kutokea national kushuka buzuruga ni mkali sana.
Magari hasa ya Mizigo hufeli sana break. Na ikishafeli hamna namna ni kugonga tu magari kwa nyuma. Jana imetokea na kugongana magari matano. Juzi hivyo hivyo.
Yaondoeni kabla hayajaleta maafa makubwa. Kuna gari za coka na Peps zikiwa Zina mzigo hapo siku zikifeli hapo maafa yatakua makubwa mno. Huyo mteremko ni mkali sana kuweka mataa pale
Magari hasa ya Mizigo hufeli sana break. Na ikishafeli hamna namna ni kugonga tu magari kwa nyuma. Jana imetokea na kugongana magari matano. Juzi hivyo hivyo.
Yaondoeni kabla hayajaleta maafa makubwa. Kuna gari za coka na Peps zikiwa Zina mzigo hapo siku zikifeli hapo maafa yatakua makubwa mno. Huyo mteremko ni mkali sana kuweka mataa pale