Nashukuru bei ya kuingiza umeme imeshuka hadi elfu 27000/= mijini na vijijini kwa sasa. Kesho naenda kuomba luku 10 kwa mpigo kila mpangaji awe na yake.
Lakini inasimuliwa wako watu waliolipia bei ya laki tatu ambao hawajawekewa Luku hadi sasa.
Kutokana na ongezeko la mahitaji kwa wateja wapya wanaolipia elfu 27000/=. Ni vyema kama shirika likawamaliza kwanza kuwafungia umeme wote waliolipia bei za awali za laki tatu na tano.
Pia shirika pamoja na kupunguza bei, liangalie namna ya kupunguza mda wa kusubili kufungiwa umeme angalau isizidi siku saba baada ya mteja kufanya malipo.
Pia kama inawezekana shirika liwatazame kwa jicho la ukarimu ( kuwafidia direct au indirect) wale watakaolipia nguzo nyingi kiasi cha kuusogeza umeme uwe jilani kwa wengine.
Kuliko wengine kuvuta umeme kwa gharama kubwa, halafu wengine wanakuja kuchota tu kirahisi.
Lakini inasimuliwa wako watu waliolipia bei ya laki tatu ambao hawajawekewa Luku hadi sasa.
Kutokana na ongezeko la mahitaji kwa wateja wapya wanaolipia elfu 27000/=. Ni vyema kama shirika likawamaliza kwanza kuwafungia umeme wote waliolipia bei za awali za laki tatu na tano.
Pia shirika pamoja na kupunguza bei, liangalie namna ya kupunguza mda wa kusubili kufungiwa umeme angalau isizidi siku saba baada ya mteja kufanya malipo.
Pia kama inawezekana shirika liwatazame kwa jicho la ukarimu ( kuwafidia direct au indirect) wale watakaolipia nguzo nyingi kiasi cha kuusogeza umeme uwe jilani kwa wengine.
Kuliko wengine kuvuta umeme kwa gharama kubwa, halafu wengine wanakuja kuchota tu kirahisi.