Iko shida sana kwenye matumizi ya majina ya huduma hapa kwetu bongo!
Kuna haja BAKITA kutoa elimu kwenye Taasisi ili zisadifu huduma kulingana na majina.
Kisaikolojia inatamkwa kuwa jina ni sehemu ya Huduma.
Emergency Service maana yake ni dharula (Maana yake Ni huduma pasipo Maandalizi).
Ukipiga simu Tanesco Emergency Leo, Huduma ya Haraka utakayopatiwa ni KUULIZWA JINA NA NAMBA YAKO YA SIMU BHAASI!
Lakini huduma usishangae kabisa mafundi wakakufikia baada ya saa 48, wiki au wasije kabisa.
Sina tatizo na uchelewaji wao yamkini hawana bajeti ya kutosha kutoa huduma kwa wakati.
Hoja na lawama zote ni kuendelea kutumia neno la EMERGENCY (Hii ni saikolojia) WAFUTE NENO Emergency na waandike ni HUDUMA YA KIUFUNDI.
Magari yao wayaandike (GENGE LA KIUFUNDI).
Kuendelea kuita EMERGENCY SERVICE sidhani kama ni sahihi! Ni ushauri tu katika kuboresha ili kuondoa lawama.
cc. Tanesco Yetu
Kuna haja BAKITA kutoa elimu kwenye Taasisi ili zisadifu huduma kulingana na majina.
Kisaikolojia inatamkwa kuwa jina ni sehemu ya Huduma.
Emergency Service maana yake ni dharula (Maana yake Ni huduma pasipo Maandalizi).
Ukipiga simu Tanesco Emergency Leo, Huduma ya Haraka utakayopatiwa ni KUULIZWA JINA NA NAMBA YAKO YA SIMU BHAASI!
Lakini huduma usishangae kabisa mafundi wakakufikia baada ya saa 48, wiki au wasije kabisa.
Sina tatizo na uchelewaji wao yamkini hawana bajeti ya kutosha kutoa huduma kwa wakati.
Hoja na lawama zote ni kuendelea kutumia neno la EMERGENCY (Hii ni saikolojia) WAFUTE NENO Emergency na waandike ni HUDUMA YA KIUFUNDI.
Magari yao wayaandike (GENGE LA KIUFUNDI).
Kuendelea kuita EMERGENCY SERVICE sidhani kama ni sahihi! Ni ushauri tu katika kuboresha ili kuondoa lawama.
cc. Tanesco Yetu