hekimanyingi
JF-Expert Member
- Jul 12, 2013
- 679
- 573
Axhana naye fala huyo watu kama hao huwa hawakui kimtazamo mtu anaongelea sprinter gari ya 98 mika 20 back halafu anakatisha wenzake tamaa. Kisa mjombaake alikuwa na spribter akakaa nayo miaka kumi basi ndo gari la milele!Lazima ukue kimtazamo, we kama hujaona waache wenzio wanaojua wamshauri, this is uncivilized habits achana nayo, inawezekana aliyeomba ushauri huko ndo uwezo wake ulipo. Ebu kuwa kidogo.
Sent using Jamii Forums mobile app