- Thread starter
- #21
Well said, thanx Mkuu. Bahati mbaya ni pale Mkubwa mwenyewe anapotoa majibu kama hayo ya kukatisha tamaa unakimbilia kwa nani tena? Labda kwa Chief Secretary!!!!!!!!!!!1. tuliza akili yako usidanganyike ukaacha kazi kwa ajili ya kumfuata mwenzio.....ni kosa kubwa sana la kiufundi.hata yeye asiache kukufuata.fikiri kwa makini mfano unatoa notice,unaenda unamfumania,au ana mimba isiyo yako,kazi huna na mke huna.
2.msumbue mwajiri kila siku,kuna siku ataelewa.kama boss wako hataki waone wakubwa zake.usitangulize haiwezekani
3.umbali peke yake hauhatarishi ndoa,kuna hatari kibao hata kama mko ofisi moja na mkeo.