Habari za mihangaiko ya maisha ya kila siku.
Nina mdogo wangu kapata vyuo viwili kwa elimu ya shahada, Mzumbe kapata public adminstration na IFM kapata insuarance .
Ushauri ni course gani asome yenye uhakika wa ajira hasa ukilinganisha na changamoto ya sasa tuliyonayo ya ajira?
Ushauri tafadhali
Nina mdogo wangu kapata vyuo viwili kwa elimu ya shahada, Mzumbe kapata public adminstration na IFM kapata insuarance .
Ushauri ni course gani asome yenye uhakika wa ajira hasa ukilinganisha na changamoto ya sasa tuliyonayo ya ajira?
Ushauri tafadhali