Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,410
- 119,111
Mzee baba hebu soma ulichoandikaKupenda mtu Ina uhusiano gani na kupenda au kutokumpenda mtu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mzee baba hebu soma ulichoandikaKupenda mtu Ina uhusiano gani na kupenda au kutokumpenda mtu?
Aksante sana
Ili msilete kiumbe duniani kisha mkakitesa.Kupenda au kutokumpenda mtu Ina uhusiano gani na utumiaji wa condom?
Acha uongo bwana..wewe una tatizo la kumchoka mtu na kutafuta kisingizio cha aende zake uoe mwingineWakuu samahani kwa wale nitakaowakwaza
Nimekuwa kwenye ndoa miaka 5 sasa ila simpendi mke wangu. Nilioa hata sijui kwa sababu gani nilijikuta tu nafunga ndoa.
Aisee napata tabu sana. Sasa hapa napata tabu sana. Wadau sielewi inakuwaje hapa, sasa sijui
Naomba ushauri au ndio nimepata, ndoà ya kikristo.
It has nothing to do na kupenda kabisaIli msilete kiumbe duniani kisha mkakitesa.
hizi ni tabia za watu ambao wako so full of themselves (self satisfactory people) hili ni tatizo, kuna kipindi nilikua siamini mtu mwingine anifanyie kazi ya mikono (mfano nguo hata nikiajiri dada wa kazi siamini kama atatakasha nguo zangu) , ila pole pole nijigundua tatizo ni mimi ila niligundua hili baada ya kukaa na binti (mpenzi) mwaka mzima nyumbani kwangu (kwa baraka za kwao) - nilikua na mawazo ya nikimchoka itakuwaje, baadae nikazoea japo hatukufanikiwa kuwa pamoja baadae (kwasababu zingine) ila nilijifunza kutomchoka mtu! hahahaHalafu kuna vitu huwa nakifikiria sana...ikitokea nikaolewa halafu nikaanza kumchoka/kutompenda mume itakuaje?
Ama vile kulala na mume kila siku nitaweza kweli?na vile nisivyopenda kulala na mtu
Pole sana mkuu...kiasi chake nimeelewa unafeel aje
Tumia akili.It has nothing to do na kupenda kabisa
Laiti angejua ni maradhi tu anayo ndani.
Tumia akili.
Asee Unapitia kipindi kigumu ndg. Inaonekana hukua unampenda huyo manzi sincerely ila ulikurupuka tu na kufanya pupa ya kumweka ndani sababu ya Mtoto.Wakuu samahani kwa wale nitakaowakwaza
Nimekuwa kwenye ndoa miaka 5 sasa ila simpendi mke wangu. Nilioa hata sijui kwa sababu gani nilijikuta tu nafunga ndoa.
Aisee napata tabu sana. Sasa hapa napata tabu sana. Wadau sielewi inakuwaje hapa, sasa sijui
Naomba ushauri au ndio nimepata, ndoà ya kikristo.
Inakuwaga ivoivo.maana wanawake wengine ndoa wanalazimisha utakuta anaenda kwa waganga ili aolewe au anafunga na kuomba majuma kadhaa ili apate mme hata kwa kumlazimisha Mungu matoke yake ndo hayoHivi mtu unakuwaje na mke then humpendi. Me as long as ananipa nyapu sina tatizo. Upendo wangu nina maeneo mengine ya kuupeleka
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakuu samahani kwa wale nitakaowakwaza
Nimekuwa kwenye ndoa miaka 5 sasa ila simpendi mke wangu. Nilioa hata sijui kwa sababu gani nilijikuta tu nafunga ndoa.
Aisee napata tabu sana. Sasa hapa napata tabu sana. Wadau sielewi inakuwaje hapa, sasa sijui
Naomba ushauri au ndio nimepata, ndoà ya kikristo.
Na hili ndio tatizo wapo bahadhi ya watu huwa wanarazimisha sana mapz.Inakuwaga ivoivo.maana wanawake wengine ndoa wanalazimisha utakuta anaenda kwa waganga ili aolewe au anafunga na kuomba majuma kadhaa ili apate mme hata kwa kumlazimisha Mungu matoke yake ndo hayo
Wakuu samahani kwa wale nitakaowakwaza
Nimekuwa kwenye ndoa miaka 5 sasa ila simpendi mke wangu. Nilioa hata sijui kwa sababu gani nilijikuta tu nafunga ndoa.
Aisee napata tabu sana. Sasa hapa napata tabu sana. Wadau sielewi inakuwaje hapa, sasa sijui
Naomba ushauri au ndio nimepata, ndoà ya kikristo.