Hapa umeshindwa kujenga hoja! Endelea kujifunza kujenga hojaHizo ni kauli za kisiasa tu, ungepata takwimu za wanaokufa kwa cancer kila siku ungesema Tanzania itafutika
imhotep,
Yaani hata kwenye Hii ishu ya Corona nayo unaingiza siasa?
Wakishajiuzulu then what? Ndo itaondoa Corona? Ni nchi gani Duniani Umeona imeifanya hivo unavotaka? Na kama wamefanya imeleta effectiveness gani? "Kujiuzulu" Kuna Punguzaje Corona?
Nyie ndo maana mda mwingine wale mboga mboga au Maccm yanawanyimaga freedom of speech. Mashudu tupu. Kwa akili hizi ndo unataka mshike nchi?
Hahahaha hapana, jifunze kujenga hija bado hujawiva!!Hoja hujengwa kutokana na hoja iliyoletwa
Wacha kupotosha tokea lini kansa ikaambukizaHizo ni kauli za kisiasa tu, ungepata takwimu za wanaokufa kwa cancer kila siku ungesema Tanzania itafutika