Divine_lady
Member
- Jul 19, 2021
- 22
- 13
Kwa kipindi kirefu sasa katika sekta ya afya kunauhitaji wa maboresho mengi. Mimi kuna kero ambayo imenipelekea kuja na wazo hili.
Ukienda hospitali nyingi aidha za serikali (Government hospitals) au za binafsi (Private hospitals) pale mapokezi kwa watumiaji wa bima tunakaa sanaa kwenye foleni kusubiria kumfikia nesi au secretary ili achukue kadi yako, aingize taarifa zako kwenye komputer amalize ndo akuambie uende kwa daktari gani. Sasa hili swala naona linatumia muda mrefu sana.
Ushauri wangu kwa serikali ni kutengeneza mashine ambazo zitakuwa na uwezo wa kuskana ( kuscan) kadi ya bima upande wenye ID number (Identity number) ambayo kila mgonjwa inapaswa awe nayo ya peke yake ( kama ilivyo kwenye NIDA) halafu kadi ikishaskaniwa itoe taarifa za mgonjwa usika ( jina, tarehe ya kuzaliwa, uraia wake, namba ya simu, passport ya mgonjwa nk) hii itapunguza foleni za wagonjwa kusubiriana kufika mapokezi .
Pia, itakuza teknologia ya nchi, pato la nchi, udanganyifu wa namna yoyote kwakuwa ile ID (identity number) haiwezi kuficha chochote taarifa zote hadi mara ya mwisho hiyo kardi ilivyotumika itaonesha.
Asanteni.
Ukienda hospitali nyingi aidha za serikali (Government hospitals) au za binafsi (Private hospitals) pale mapokezi kwa watumiaji wa bima tunakaa sanaa kwenye foleni kusubiria kumfikia nesi au secretary ili achukue kadi yako, aingize taarifa zako kwenye komputer amalize ndo akuambie uende kwa daktari gani. Sasa hili swala naona linatumia muda mrefu sana.
Ushauri wangu kwa serikali ni kutengeneza mashine ambazo zitakuwa na uwezo wa kuskana ( kuscan) kadi ya bima upande wenye ID number (Identity number) ambayo kila mgonjwa inapaswa awe nayo ya peke yake ( kama ilivyo kwenye NIDA) halafu kadi ikishaskaniwa itoe taarifa za mgonjwa usika ( jina, tarehe ya kuzaliwa, uraia wake, namba ya simu, passport ya mgonjwa nk) hii itapunguza foleni za wagonjwa kusubiriana kufika mapokezi .
Pia, itakuza teknologia ya nchi, pato la nchi, udanganyifu wa namna yoyote kwakuwa ile ID (identity number) haiwezi kuficha chochote taarifa zote hadi mara ya mwisho hiyo kardi ilivyotumika itaonesha.
Asanteni.