Chifu Sanze
JF-Expert Member
- Jul 20, 2021
- 3,113
- 6,320
Ligeuzeni kaburi lake liwe kanisa muwe mnaenda kuabudu kabisa.
Sheikh uko serious kabisaAssallaam aleykum!
Imepita siku moja toka siku ya kuzaliwa mwamba wa Africa mwendazake John Joseph Pombe Magufuli
Pamoja na wasiompenda kuzungumza mengi sana juu yake, kwa upande wangu nimeona nimkumbuke kwa wema alioutendea umma wa watanzania hasa wasiokua na sauti.
Katika kipindi chake nchi ya Tanzania ilikua kinara Afrika kwa upigaji Vita dhidi ya rushwa.
Ikumbukwe chanzo cha kupiga mark time nchi nyingi za kiafrika Ni kuota mizizi kwa rushwa kwa wale walioaminiwa na kupewa madaraka kisimamia Mali za watu wengi
Najua mnajua rushwa ni Nini. Ila kwa faida ya wengi Rushwa Ni kitendo cha tabaka la watu wachache kutumia ama kufuja Mali zetu tulizowapa watulindie kwa matumizi yao binafsi.
Rushwa pia inaambatana na ununuaji wa HAKI yako wewe mwenyewe uliyopaswa uichukue tu bure kiasili bila gharama yoyote
Aah! tuachane na hayo.
Kipindi chake alitekeleza miradi mikubwa ya kimkakati ambayo Sina haja ya kuitaja hapa na ambayo ilikua Ni ndoto kwa nchi za kiafrika kutekeleza miradi mikubwa Kama hiyo.
Tulipata wageni wengi Marais kutoka pembe mbalimbali za Afrika kuja kumshangaa na kujifunza kwa vitendo (practical training) na kumuuliza the late aliwezaje hayo yote tena kwa kipindi kifupi tu?
Alikaririwa pia na vyombo vya habari Rais mstaafu was awamu ya pili Alhaj Ali Hassan Mwinyi akitanabaisha kwamba alichokifanya Magufuli kwa miaka Minne Ni kikubwa kuliko Marais wote waliopita combined
Ni wazi kwamba kwa mradi mmoja tu wa ujenzi waa reli ungekua sifa kubwa kwa mtu Kama Rais kuutekeleza, lakini yalitekelezwa makumi ya miradi mikubwa na Hadi umauti unamkuta nadhani alibakisha takriban vijiji visivyozidi 2000 tu kupata umeme
Ni kweli JPM alitufanya wananchi wa kawaida tutembee vifua mbele kwa kufuta kabisa ile kauli kongwe ya unanijua Mimi Ni nani?
Binadamu wote tulionekana kua sawa kipindi chake japo Kuna ma pro politics wanaowaza kwa kutumia matumbo watapinga tu
Watendaji wote walikua wanyenyekevu kwa wananchi wanaowatumikia kuanzia mahospitalini na maeneo mengine ya huduma za kijamii. Wanawake wanaohitaji huduma za uzazi watakua mashahidi walivyokua wanakula makofi kutoka kwa manesi kabla ya Magufuli era
Mambo Ni mengi muda nichache.
Niiombe serikali yetu sikivu,
kwa Nia ya vizazi vijavyo kuelewa kwamba alitokea mtu wa namna ya Magufuli kwenye nchi yetu, mtu aliyesimama na kutukingia kifua mbele ya mataifa mwewe,
Mataifa yenye makucha makubwa ambayo yalitutawala na kuogelea kwenye rasilimali zetu na Sasa yanarudi tena Afrika kwa njia ya urafiki na uwekezaji
Ni wakati Sasa kwa serikali yetu kuifanya nyumba ya milele ya shujaa huyu kua moja ya makumbusho ya KITAIFA
Ili watoto na mataifa ya Afrika yavune mazuri ya kipekee aliyothubutu mwamba huyu
NB
POVU limo
View attachment 1992003
Tumshukuru Mungu kwa kila jambo.Assallaam aleykum!
Imepita siku moja toka siku ya kuzaliwa mwamba wa Africa mwendazake John Joseph Pombe Magufuli
Pamoja na wasiompenda kuzungumza mengi sana juu yake, kwa upande wangu nimeona nimkumbuke kwa wema alioutendea umma wa watanzania hasa wasiokua na sauti.
Katika kipindi chake nchi ya Tanzania ilikua kinara Afrika kwa upigaji Vita dhidi ya rushwa.
Ikumbukwe chanzo cha kupiga mark time nchi nyingi za kiafrika Ni kuota mizizi kwa rushwa kwa wale walioaminiwa na kupewa madaraka kisimamia Mali za watu wengi
Najua mnajua rushwa ni Nini. Ila kwa faida ya wengi Rushwa Ni kitendo cha tabaka la watu wachache kutumia ama kufuja Mali zetu tulizowapa watulindie kwa matumizi yao binafsi.
Rushwa pia inaambatana na ununuaji wa HAKI yako wewe mwenyewe uliyopaswa uichukue tu bure kiasili bila gharama yoyote
Aah! tuachane na hayo.
Kipindi chake alitekeleza miradi mikubwa ya kimkakati ambayo Sina haja ya kuitaja hapa na ambayo ilikua Ni ndoto kwa nchi za kiafrika kutekeleza miradi mikubwa Kama hiyo.
Tulipata wageni wengi Marais kutoka pembe mbalimbali za Afrika kuja kumshangaa na kujifunza kwa vitendo (practical training) na kumuuliza the late aliwezaje hayo yote tena kwa kipindi kifupi tu?
Alikaririwa pia na vyombo vya habari Rais mstaafu was awamu ya pili Alhaj Ali Hassan Mwinyi akitanabaisha kwamba alichokifanya Magufuli kwa miaka Minne Ni kikubwa kuliko Marais wote waliopita combined
Ni wazi kwamba kwa mradi mmoja tu wa ujenzi waa reli ungekua sifa kubwa kwa mtu Kama Rais kuutekeleza, lakini yalitekelezwa makumi ya miradi mikubwa na Hadi umauti unamkuta nadhani alibakisha takriban vijiji visivyozidi 2000 tu kupata umeme
Ni kweli JPM alitufanya wananchi wa kawaida tutembee vifua mbele kwa kufuta kabisa ile kauli kongwe ya unanijua Mimi Ni nani?
Binadamu wote tulionekana kua sawa kipindi chake japo Kuna ma pro politics wanaowaza kwa kutumia matumbo watapinga tu
Watendaji wote walikua wanyenyekevu kwa wananchi wanaowatumikia kuanzia mahospitalini na maeneo mengine ya huduma za kijamii. Wanawake wanaohitaji huduma za uzazi watakua mashahidi walivyokua wanakula makofi kutoka kwa manesi kabla ya Magufuli era
Mambo Ni mengi muda nichache.
Niiombe serikali yetu sikivu,
kwa Nia ya vizazi vijavyo kuelewa kwamba alitokea mtu wa namna ya Magufuli kwenye nchi yetu, mtu aliyesimama na kutukingia kifua mbele ya mataifa mwewe,
Mataifa yenye makucha makubwa ambayo yalitutawala na kuogelea kwenye rasilimali zetu na Sasa yanarudi tena Afrika kwa njia ya urafiki na uwekezaji
Ni wakati Sasa kwa serikali yetu kuifanya nyumba ya milele ya shujaa huyu kua moja ya makumbusho ya KITAIFA
Ili watoto na mataifa ya Afrika yavune mazuri ya kipekee aliyothubutu mwamba huyu
NB
POVU limo
View attachment 1992003
Aliingiaje kichwa kichwa kwa hao wenyewe, ilitakiwa wampe Lowassa how come mlilia lia mpate Rais asiye cheka cheka na kikwete kuwaambia haya nimewaletea asiye cheka cheka leo unatokwa na povu mh🤔!.Ccm inawanyewe jiwe aliingia kichwa kichwa
Mlisema Lowasa mgonjwa sasa Kati ya Lowasa na yye nani mgonjwaAliingiaje kichwa kichwa kwa hao wenyewe, ilitakiwa wampe Lowassa how come mlilia lia mpate Rais asiye cheka cheka na kikwete kuwaambia haya nimewaletea asiye cheka cheka leo unatokwa na povu mh🤔!.
Although hao wenyewe ccm hawakujua kuwa Magufuri siyo mwenye ccm mpaka kumpa kijiti?.
Ondoa maovu potofu kijana!.
Hiyo shiriki SheikhNaam maalim namaanisha
Tafakari sanaNgoja niitafakari kwa kina
I stand to be corrected
Usimfanishe Yesu na mambo ya kijinga.Hata yesu masihi hatunaye hapa ila watu wanajaa madhabahuni kumtamalaki
Hakuna ajuayeVile mwendakuzimu amefurahia uzi wako huu kutokea huko kuzimu
View attachment 1992433
Kwa hiyo leo unajua kuwa na mitazamo iliyo tofauti ni jambo jema?Mkuu Kama wote tutakua na mitazamo inayofanana si utakua uzwazwa huo
Acha niwe tofauti na wewe mmeza albendazol
Kwani sasa ni nini?Assallaam aleykum!
Imepita siku moja toka siku ya kuzaliwa mwamba wa Africa mwendazake John Joseph Pombe Magufuli
Pamoja na wasiompenda kuzungumza mengi sana juu yake, kwa upande wangu nimeona nimkumbuke kwa wema alioutendea umma wa watanzania hasa wasiokua na sauti.
Katika kipindi chake nchi ya Tanzania ilikua kinara Afrika kwa upigaji Vita dhidi ya rushwa.
Ikumbukwe chanzo cha kupiga mark time nchi nyingi za kiafrika Ni kuota mizizi kwa rushwa kwa wale walioaminiwa na kupewa madaraka kisimamia Mali za watu wengi
Najua mnajua rushwa ni Nini. Ila kwa faida ya wengi Rushwa Ni kitendo cha tabaka la watu wachache kutumia ama kufuja Mali zetu tulizowapa watulindie kwa matumizi yao binafsi.
Rushwa pia inaambatana na ununuaji wa HAKI yako wewe mwenyewe uliyopaswa uichukue tu bure kiasili bila gharama yoyote
Aah! tuachane na hayo.
Kipindi chake alitekeleza miradi mikubwa ya kimkakati ambayo Sina haja ya kuitaja hapa na ambayo ilikua Ni ndoto kwa nchi za kiafrika kutekeleza miradi mikubwa Kama hiyo.
Tulipata wageni wengi Marais kutoka pembe mbalimbali za Afrika kuja kumshangaa na kujifunza kwa vitendo (practical training) na kumuuliza the late aliwezaje hayo yote tena kwa kipindi kifupi tu?
Alikaririwa pia na vyombo vya habari Rais mstaafu was awamu ya pili Alhaj Ali Hassan Mwinyi akitanabaisha kwamba alichokifanya Magufuli kwa miaka Minne Ni kikubwa kuliko Marais wote waliopita combined
Ni wazi kwamba kwa mradi mmoja tu wa ujenzi waa reli ungekua sifa kubwa kwa mtu Kama Rais kuutekeleza, lakini yalitekelezwa makumi ya miradi mikubwa na Hadi umauti unamkuta nadhani alibakisha takriban vijiji visivyozidi 2000 tu kupata umeme
Ni kweli JPM alitufanya wananchi wa kawaida tutembee vifua mbele kwa kufuta kabisa ile kauli kongwe ya unanijua Mimi Ni nani?
Binadamu wote tulionekana kua sawa kipindi chake japo Kuna ma pro politics wanaowaza kwa kutumia matumbo watapinga tu
Watendaji wote walikua wanyenyekevu kwa wananchi wanaowatumikia kuanzia mahospitalini na maeneo mengine ya huduma za kijamii. Wanawake wanaohitaji huduma za uzazi watakua mashahidi walivyokua wanakula makofi kutoka kwa manesi kabla ya Magufuli era
Mambo Ni mengi muda nichache.
Niiombe serikali yetu sikivu,
kwa Nia ya vizazi vijavyo kuelewa kwamba alitokea mtu wa namna ya Magufuli kwenye nchi yetu, mtu aliyesimama na kutukingia kifua mbele ya mataifa mwewe,
Mataifa yenye makucha makubwa ambayo yalitutawala na kuogelea kwenye rasilimali zetu na Sasa yanarudi tena Afrika kwa njia ya urafiki na uwekezaji
Ni wakati Sasa kwa serikali yetu kuifanya nyumba ya milele ya shujaa huyu kua moja ya makumbusho ya KITAIFA
Ili watoto na mataifa ya Afrika yavune mazuri ya kipekee aliyothubutu mwamba huyu
NB
POVU limo
View attachment 1992003