Ushauri: Serikali ilifanye kaburi la Hayati Dkt. Magufuli liwe kumbukumbu ya kitaifa

Assallaam aleykum!

Imepita siku moja toka siku ya kuzaliwa mwamba wa Africa mwendazake John Joseph Pombe Magufuli

Pamoja na wasiompenda kuzungumza mengi sana juu yake, kwa upande wangu nimeona nimkumbuke kwa wema alioutendea umma wa watanzania hasa wasiokua na sauti.

Katika kipindi chake nchi ya Tanzania ilikua kinara Afrika kwa upigaji Vita dhidi ya rushwa.

Ikumbukwe chanzo cha kupiga mark time nchi nyingi za kiafrika Ni kuota mizizi kwa rushwa kwa wale walioaminiwa na kupewa madaraka kisimamia Mali za watu wengi

Najua mnajua rushwa ni Nini. Ila kwa faida ya wengi Rushwa Ni kitendo cha tabaka la watu wachache kutumia ama kufuja Mali zetu tulizowapa watulindie kwa matumizi yao binafsi.

Rushwa pia inaambatana na ununuaji wa HAKI yako wewe mwenyewe uliyopaswa uichukue tu bure kiasili bila gharama yoyote

Aah! tuachane na hayo.

Kipindi chake alitekeleza miradi mikubwa ya kimkakati ambayo Sina haja ya kuitaja hapa na ambayo ilikua Ni ndoto kwa nchi za kiafrika kutekeleza miradi mikubwa Kama hiyo.

Tulipata wageni wengi Marais kutoka pembe mbalimbali za Afrika kuja kumshangaa na kujifunza kwa vitendo (practical training) na kumuuliza the late aliwezaje hayo yote tena kwa kipindi kifupi tu?

Alikaririwa pia na vyombo vya habari Rais mstaafu was awamu ya pili Alhaj Ali Hassan Mwinyi akitanabaisha kwamba alichokifanya Magufuli kwa miaka Minne Ni kikubwa kuliko Marais wote waliopita combined

Ni wazi kwamba kwa mradi mmoja tu wa ujenzi waa reli ungekua sifa kubwa kwa mtu Kama Rais kuutekeleza, lakini yalitekelezwa makumi ya miradi mikubwa na Hadi umauti unamkuta nadhani alibakisha takriban vijiji visivyozidi 2000 tu kupata umeme

Ni kweli JPM alitufanya wananchi wa kawaida tutembee vifua mbele kwa kufuta kabisa ile kauli kongwe ya unanijua Mimi Ni nani?

Binadamu wote tulionekana kua sawa kipindi chake japo Kuna ma pro politics wanaowaza kwa kutumia matumbo watapinga tu

Watendaji wote walikua wanyenyekevu kwa wananchi wanaowatumikia kuanzia mahospitalini na maeneo mengine ya huduma za kijamii. Wanawake wanaohitaji huduma za uzazi watakua mashahidi walivyokua wanakula makofi kutoka kwa manesi kabla ya Magufuli era

Mambo Ni mengi muda nichache.

Niiombe serikali yetu sikivu,
kwa Nia ya vizazi vijavyo kuelewa kwamba alitokea mtu wa namna ya Magufuli kwenye nchi yetu, mtu aliyesimama na kutukingia kifua mbele ya mataifa mwewe,

Mataifa yenye makucha makubwa ambayo yalitutawala na kuogelea kwenye rasilimali zetu na Sasa yanarudi tena Afrika kwa njia ya urafiki na uwekezaji

Ni wakati Sasa kwa serikali yetu kuifanya nyumba ya milele ya shujaa huyu kua moja ya makumbusho ya KITAIFA

Ili watoto na mataifa ya Afrika yavune mazuri ya kipekee aliyothubutu mwamba huyu

NB
POVU limo

View attachment 1992003
Sheikh uko serious kabisa
 
Assallaam aleykum!

Imepita siku moja toka siku ya kuzaliwa mwamba wa Africa mwendazake John Joseph Pombe Magufuli

Pamoja na wasiompenda kuzungumza mengi sana juu yake, kwa upande wangu nimeona nimkumbuke kwa wema alioutendea umma wa watanzania hasa wasiokua na sauti.

Katika kipindi chake nchi ya Tanzania ilikua kinara Afrika kwa upigaji Vita dhidi ya rushwa.

Ikumbukwe chanzo cha kupiga mark time nchi nyingi za kiafrika Ni kuota mizizi kwa rushwa kwa wale walioaminiwa na kupewa madaraka kisimamia Mali za watu wengi

Najua mnajua rushwa ni Nini. Ila kwa faida ya wengi Rushwa Ni kitendo cha tabaka la watu wachache kutumia ama kufuja Mali zetu tulizowapa watulindie kwa matumizi yao binafsi.

Rushwa pia inaambatana na ununuaji wa HAKI yako wewe mwenyewe uliyopaswa uichukue tu bure kiasili bila gharama yoyote

Aah! tuachane na hayo.

Kipindi chake alitekeleza miradi mikubwa ya kimkakati ambayo Sina haja ya kuitaja hapa na ambayo ilikua Ni ndoto kwa nchi za kiafrika kutekeleza miradi mikubwa Kama hiyo.

Tulipata wageni wengi Marais kutoka pembe mbalimbali za Afrika kuja kumshangaa na kujifunza kwa vitendo (practical training) na kumuuliza the late aliwezaje hayo yote tena kwa kipindi kifupi tu?

Alikaririwa pia na vyombo vya habari Rais mstaafu was awamu ya pili Alhaj Ali Hassan Mwinyi akitanabaisha kwamba alichokifanya Magufuli kwa miaka Minne Ni kikubwa kuliko Marais wote waliopita combined

Ni wazi kwamba kwa mradi mmoja tu wa ujenzi waa reli ungekua sifa kubwa kwa mtu Kama Rais kuutekeleza, lakini yalitekelezwa makumi ya miradi mikubwa na Hadi umauti unamkuta nadhani alibakisha takriban vijiji visivyozidi 2000 tu kupata umeme

Ni kweli JPM alitufanya wananchi wa kawaida tutembee vifua mbele kwa kufuta kabisa ile kauli kongwe ya unanijua Mimi Ni nani?

Binadamu wote tulionekana kua sawa kipindi chake japo Kuna ma pro politics wanaowaza kwa kutumia matumbo watapinga tu

Watendaji wote walikua wanyenyekevu kwa wananchi wanaowatumikia kuanzia mahospitalini na maeneo mengine ya huduma za kijamii. Wanawake wanaohitaji huduma za uzazi watakua mashahidi walivyokua wanakula makofi kutoka kwa manesi kabla ya Magufuli era

Mambo Ni mengi muda nichache.

Niiombe serikali yetu sikivu,
kwa Nia ya vizazi vijavyo kuelewa kwamba alitokea mtu wa namna ya Magufuli kwenye nchi yetu, mtu aliyesimama na kutukingia kifua mbele ya mataifa mwewe,

Mataifa yenye makucha makubwa ambayo yalitutawala na kuogelea kwenye rasilimali zetu na Sasa yanarudi tena Afrika kwa njia ya urafiki na uwekezaji

Ni wakati Sasa kwa serikali yetu kuifanya nyumba ya milele ya shujaa huyu kua moja ya makumbusho ya KITAIFA

Ili watoto na mataifa ya Afrika yavune mazuri ya kipekee aliyothubutu mwamba huyu

NB
POVU limo

View attachment 1992003
Tumshukuru Mungu kwa kila jambo.
 
Kuna wazalendo wengine pia.Marehemu Nyerere,na Sokoine. nadhani tutakubaliana Hawa ndio walifanya kazi kiuzalendo wakati wa uhai wao
 
Ccm inawanyewe jiwe aliingia kichwa kichwa
Aliingiaje kichwa kichwa kwa hao wenyewe, ilitakiwa wampe Lowassa how come mlilia lia mpate Rais asiye cheka cheka na kikwete kuwaambia haya nimewaletea asiye cheka cheka leo unatokwa na povu mh🤔!.

Although hao wenyewe ccm hawakujua kuwa Magufuri siyo mwenye ccm mpaka kumpa kijiti?.

Ondoa maovu potofu kijana!.
 
Aliingiaje kichwa kichwa kwa hao wenyewe, ilitakiwa wampe Lowassa how come mlilia lia mpate Rais asiye cheka cheka na kikwete kuwaambia haya nimewaletea asiye cheka cheka leo unatokwa na povu mh🤔!.

Although hao wenyewe ccm hawakujua kuwa Magufuri siyo mwenye ccm mpaka kumpa kijiti?.

Ondoa maovu potofu kijana!.
Mlisema Lowasa mgonjwa sasa Kati ya Lowasa na yye nani mgonjwa
 
Vile mwendakuzimu amefurahia uzi wako huu kutokea huko kuzimu😁😁😁
162869316286936.jpg
 
Mkuu Kama wote tutakua na mitazamo inayofanana si utakua uzwazwa huo

Acha niwe tofauti na wewe mmeza albendazol
Kwa hiyo leo unajua kuwa na mitazamo iliyo tofauti ni jambo jema?

Je kwann Magu alikua anapoteza walio mpinga?
 
Assallaam aleykum!

Imepita siku moja toka siku ya kuzaliwa mwamba wa Africa mwendazake John Joseph Pombe Magufuli

Pamoja na wasiompenda kuzungumza mengi sana juu yake, kwa upande wangu nimeona nimkumbuke kwa wema alioutendea umma wa watanzania hasa wasiokua na sauti.

Katika kipindi chake nchi ya Tanzania ilikua kinara Afrika kwa upigaji Vita dhidi ya rushwa.

Ikumbukwe chanzo cha kupiga mark time nchi nyingi za kiafrika Ni kuota mizizi kwa rushwa kwa wale walioaminiwa na kupewa madaraka kisimamia Mali za watu wengi

Najua mnajua rushwa ni Nini. Ila kwa faida ya wengi Rushwa Ni kitendo cha tabaka la watu wachache kutumia ama kufuja Mali zetu tulizowapa watulindie kwa matumizi yao binafsi.

Rushwa pia inaambatana na ununuaji wa HAKI yako wewe mwenyewe uliyopaswa uichukue tu bure kiasili bila gharama yoyote

Aah! tuachane na hayo.

Kipindi chake alitekeleza miradi mikubwa ya kimkakati ambayo Sina haja ya kuitaja hapa na ambayo ilikua Ni ndoto kwa nchi za kiafrika kutekeleza miradi mikubwa Kama hiyo.

Tulipata wageni wengi Marais kutoka pembe mbalimbali za Afrika kuja kumshangaa na kujifunza kwa vitendo (practical training) na kumuuliza the late aliwezaje hayo yote tena kwa kipindi kifupi tu?

Alikaririwa pia na vyombo vya habari Rais mstaafu was awamu ya pili Alhaj Ali Hassan Mwinyi akitanabaisha kwamba alichokifanya Magufuli kwa miaka Minne Ni kikubwa kuliko Marais wote waliopita combined

Ni wazi kwamba kwa mradi mmoja tu wa ujenzi waa reli ungekua sifa kubwa kwa mtu Kama Rais kuutekeleza, lakini yalitekelezwa makumi ya miradi mikubwa na Hadi umauti unamkuta nadhani alibakisha takriban vijiji visivyozidi 2000 tu kupata umeme

Ni kweli JPM alitufanya wananchi wa kawaida tutembee vifua mbele kwa kufuta kabisa ile kauli kongwe ya unanijua Mimi Ni nani?

Binadamu wote tulionekana kua sawa kipindi chake japo Kuna ma pro politics wanaowaza kwa kutumia matumbo watapinga tu

Watendaji wote walikua wanyenyekevu kwa wananchi wanaowatumikia kuanzia mahospitalini na maeneo mengine ya huduma za kijamii. Wanawake wanaohitaji huduma za uzazi watakua mashahidi walivyokua wanakula makofi kutoka kwa manesi kabla ya Magufuli era

Mambo Ni mengi muda nichache.

Niiombe serikali yetu sikivu,
kwa Nia ya vizazi vijavyo kuelewa kwamba alitokea mtu wa namna ya Magufuli kwenye nchi yetu, mtu aliyesimama na kutukingia kifua mbele ya mataifa mwewe,

Mataifa yenye makucha makubwa ambayo yalitutawala na kuogelea kwenye rasilimali zetu na Sasa yanarudi tena Afrika kwa njia ya urafiki na uwekezaji

Ni wakati Sasa kwa serikali yetu kuifanya nyumba ya milele ya shujaa huyu kua moja ya makumbusho ya KITAIFA

Ili watoto na mataifa ya Afrika yavune mazuri ya kipekee aliyothubutu mwamba huyu

NB
POVU limo

View attachment 1992003
Kwani sasa ni nini?
 
Back
Top Bottom