makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 28,105
- 80,946
Baba unataka tozo ziwe mpaka kwenye pumzi zetu?
Hili ni wazi zuri sana, yani kukiwa tunnel pale, Kigamboni itakuwa mjini hasa,Kama title inavyosema. Hili jambo la kujenga daraja kati ya Ferry na kigamboni kama ni gumu na lina gharama kubwa nashauri serikali ijenge tunnel ya chini ya bahari.