Ego is the Enemy
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 7,398
- 14,154
Jack ma anadai haina haja ya mwanaye kuwa wa kwanza za. Being in middle is okay
Mkuu kwa elimu ipi unayotaka kuisema tuanze na kubadili mitaala ya chini kwanza.
Ukijenga msingi mzuri huku mbele inakuwa vyema ila si tunaanza kukuruka na juu pekee.
Kinachofanyika shuleni ninaambiwa Mana ya physics afu natakiwa nikariri nikiulizwa nijibu vile vile ilivyo mkuu.
Ujue uchina watt wanatumia kalkuketa tokea primary. Ni kwa Nini unipime kwa kukariri table na huku ni kitu ambacho kinapatikana ukikataka.
Kuna mchina mmoja aliniona kilaza sijui kazi ananitania lakini Sasa tukawa tunabishania kuhusu kalkuketa orijino. Sasa nikamwambia huku tunatumia Levo gani ya elimu. Akaanza kuniuliza maswali Kama haya unafanyeje.
Yaani Ile kuuliza viswali vya kuzidisha namjibu akakubali kuwa Niko fiti. Ila ufiti ambao sio productive
Kuna vijana wanameza cosine sine tan za special angles mpaka periodic table sijui wanaipeleka wapi.
Tunatesana na tunafanya kazi ambayo haina mana
Ndo Mana waafrika wakienda nje kusoma wakikariri wakimeza wanawakimbiza wazungu basi wanajionaa vichwa kuwa wanawazidi na huku kwenye innovations ambayo mzungu anahitaji na productions mwafrika chalii anabakia kujivunia tu mavyeti kabatini kuwa nimekimbizwa wazungu.cheki mie ni best student
Mie ni civil Engineer Ila ukiniambia nichanganye zege la kupata grade 30 hapa nilipo sijui labda nigugo kwanza.
Yaani nimemeza theory nijibu mtihani nifaulu makunza nyaoro shirima rubarutuka funga kazi.na Nina miaka kadhaa mtaani nakaribia kufunga kumi from graduu
Sure na unatakiwa kuwa selective Kama nimebase kwenye udongo tu i.e naenda kukomaa na material Tena labda ya roads ama building na sio Niko material ya road unaniletea nisome steel structure mie nitaitumia wapi jamani ivi. Maana siendi kutafuta sifa kuwa mie ni mtabeMkuu kuna ukweli sana.. imagine ingepiga diploma miaka 3 baada ya form IV.. ukafanya kazi kama technician let say kwa miaka 3.. baadae ukarudi chuo kumalizia dwgree yako nadhani kwanza degree yako ungeisoma vizuri kwa kuelewa kwa sababu umetola field pia baada ya degree ungekua engineer mmoja mkali sana.