Ushauri: Rais Samia zuia mazao kwenda nje ya nchi, njaa inalinyemelea Taifa

Mh. Ukiachilia mbali mfumuko wa bei wa ajabu kuwahi kutokea,,,nakuomba zuia mazao kwenda nje ya nchi ulinisuru Taifa na njaa,,mvua zimegoma kunyesha mahindi na mpunga vimeanza kupandishwa bei kiholela.Mh.nakuomba simama na wananchi angalau kwa hili njaa itakuletea mgogoro mkubwa katika utawala wako najua hutafurahia kusikia watu wanasaga pumba iwe ndo chakula chao!!!

Chonde chonde waziri wa kilimo,biashara nk kama mnapita humu fikisheni taarifa hii haraka kuwanisuru wananchi,,,Chakula ni jambo linalogusa usalama wa Taifa letu ikiwezekana weka bei elekezi ya mazao isiyomuumiza mkulima wala mlaji,,,Zuia mazao kwenda nje tafadhali

Mfumuko wa bei mmeshindwa lkn hili najua mnaweza
Lima vya kwako afu uzuiwe usipeleke nje ndipo uone raha yake.
Si soko huria ama. Si unatafuta hela unazo una wasiwasi gani kwani utakula hela zako.
Yaani mtu alime umpangie auze wapi sio ujamaa huu ,
 
Ukiwa wewe kama rais hutachelewa kupinduliwa kwa kiacha kila mtu apange atakavyo hasa kwa vitu muhimu kama chakula,,,mtu unaweza kuacha kujenga ila huwezi kuacha kula,,,Nakujuza chakula ndio Usalama wa Taifa ndugu
Nunua weka ndani. Mie huwa napenda drought moja ama calamity matata itokee ili watu wajue shida ni Nini. Kuna watanzania wengi Sana hawajui shida ni nini
 
Mh. Ukiachilia mbali mfumuko wa bei wa ajabu kuwahi kutokea,,,nakuomba zuia mazao kwenda nje ya nchi ulinisuru Taifa na njaa,,mvua zimegoma kunyesha mahindi na mpunga vimeanza kupandishwa bei kiholela.Mh.nakuomba simama na wananchi angalau kwa hili njaa itakuletea mgogoro mkubwa katika utawala wako najua hutafurahia kusikia watu wanasaga pumba iwe ndo chakula chao!!!

Chonde chonde waziri wa kilimo,biashara nk kama mnapita humu fikisheni taarifa hii haraka kuwanisuru wananchi,,,Chakula ni jambo linalogusa usalama wa Taifa letu ikiwezekana weka bei elekezi ya mazao isiyomuumiza mkulima wala mlaji,,,Zuia mazao kwenda nje tafadhali

Mfumuko wa bei mmeshindwa lkn hili najua mnaweza
Fikira za ajabu na za kijinga kabisa, hivi ni lini tutaacha kuwatumia wakulima Kama punching bag?

Mwaka juzi, Jana na huu wakati mavuno yalipokuwa makubwa mlimsaidia vp mkulima kutokana na kukosa soko na Bei ya mazao kudorora? Badala ya kufikiria namna bora ya kuwainua wakulima wetu kwa kupata masoko nje na kuweza kupata Bei nzuri, ili wapate faida zaidi nakuinuka, sie tunawaza kuzuia wasipate masoko na Bei ya mazao isipande!!!. Very pathetic.
 
Hii ni njia ya kijima na fikra za kijima. Kwanza watu wanaouziwa nje si watu? Binadamu wote ni ndugu na sawa.

Wacha watu wafanye mambo kwa uhuru wao.

Huwezi lalamika mvua wakati Tanzania ni nchi pekee iliyozungukwa na maji ya kudumu.
Unafanya kazi taasisi gani we fisadi!! Nyie ndo mnafanya rais achukiwe we unadhani hali hii isipodhibitiwa rais ataeleweka machoni pa wtz!!? Njaa itamfanya apinduliwe kilaini sana,,Chakula ni Usalama wa Taifa nasisitiza mkulima asimamiwe asipate hasara na mlaji asiumizwe
 
Unanilisha maneno. Sijasema bei ya chakula ipandishwe kumnufaisha mkulima, nimesema soko huria liachwe na serikali inunue bidhaa kwa bei ya soko na si kuzuia bidhaa ili bei ishuke.

Elewa maana ya soko huru, Demand and Supply haipaswi kuingiliwa na serikali au mfanya biashara. Mfanyabiashara anayeficha bidhaa kwa kushirikiana na wenzake ili bei ipande anafanya kosa, na serikali inapozuia soko ili bei ishuke inafanya kosa.
Kitu rahisi ni kusimamia mkulima apate na mlaji asiumizwe alafu kumbuka wananchi weng wanalimia tumbo(subsistance farming) hivyo kulingana na shida za kitamzania hujikuta wameuza kila kitu kwa wafanyabiashara(walanguzi) alafu baadae wanaenda kulanguliwa kwa bei kubwa isiyomithirika
 
Kitu rahisi ni kusimamia mkulima apate na mlaji asiumizwe alafu kumbuka wananchi weng wanalimia tumbo(subsistance farming) hivyo kulingana na shida za kitamzania hujikuta wameuza kila kitu kwa wafanyabiashara(walanguzi) alafu baadae wanaenda kulanguliwa kwa bei kubwa isiyomithirika
Kama nilivyosema, kilimo ni biashara ila tatizo wakulima wengi hawalimi kibiashara ndo maana wanalima tu bila kutengeneza au kulijua soko la bidhaa zao. Sasa hapo mlanguzi ndo anapoingia.

Unajua kazi ya serikali kuu ni kuhakikisha ulinzi na usalama kwa raia wake na kuhakikisha kuna mazingira mazuri kwa raia wake kufanya kazi na biashara......

Hizi kazi zingine tunaipa serikali sababu ni uvivu tu na kutojielewa. Jembe lako, Mbolea yako, Shamba lako, nguvu kazi zako, mazao yako, unauza kwa ridhaa yako ila unataka serikali ipambane kuhakikisha unapata faida. Tukielewa somo la soko huru, Watanzania wakulima watafaidika sana na biashara ya kilimo.
 
Unafanya kazi taasisi gani we fisadi!! Nyie ndo mnafanya rais achukiwe we unadhani hali hii isipodhibitiwa rais ataeleweka machoni pa wtz!!? Njaa itamfanya apinduliwe kilaini sana,,Chakula ni Usalama wa Taifa nasisitiza mkulima asimamiwe asipate hasara na mlaji asiumizwe

Njia na fikra kwa ujumla wake ni zakijima. Na mvua isiponyesha miaka 3 utafanya je kwa fikra za kijima namna hii utaendelea kuzuia kitu kisichokuwepo?
 
Unafanya kazi taasisi gani we fisadi!! Nyie ndo mnafanya rais achukiwe we unadhani hali hii isipodhibitiwa rais ataeleweka machoni pa wtz!!? Njaa itamfanya apinduliwe kilaini sana,,Chakula ni Usalama wa Taifa nasisitiza mkulima asimamiwe asipate hasara na mlaji asiumizwe
Kumbe wewe shida yako ni Rais, na sio chakula?

Acha kuwapangia wanaume matumizi ya mazao ya jasho lao. Kama unaogopa njaa, nenda ukalime vya kwako!
 
Nchi inanyemelewa na njaa kali kutokana na mvua kushindwa kunyesha kwa wakati,,Maeneo mengi ya nchi ni makame.Nashauri serikali izuie kuuza mahindi nje ili chakula kibaki ndani kudhibiti mfumuko wa bei katika mazao unaoanza kujitokeza,,,Mh.rais usikubali na hili likushinde wananchi wako wakafa na njaa.

Ikiwezekana panga bei elekezi isiyomuumiza mkulima wala mlaji,wananchi wanateseka na mfumuko wa bei msiwaongezee tena pigo la njaa tafadhali
nyie wenye kadi zenu mtapona tutakufa njaa sisi wa upinzani
 
Mbolea imepanda bei, halafu tuanze kupangiana bei eti kisa kuna njaa...kila mtu ashinde mechi zake !
 
Back
Top Bottom