Ushauri: Rais Samia ikikupendeza tuwe na Wizara ya Fedha peke yake na Wizara ya Mipango peke yake

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
82,745
139,512
Baada ya kusikiliza hii press ya mawaziri watatu yaani Dkt. Mwigulu Dr. Ndugulile na Ummy Mwalimu nashawishika kusema ni vema wizara ya mipango ikajitegemea.

Sijaona uratibu unaoshawishi kisomi kwenye hii press na kama tungekuwa na Waziri wa Mipango anayejitegemea tusingefika huku kote.

Wizara ya Fedha haihitaji siasa ndio maana marehemu wawili Stephen Kibona na Dr Mgimwa walifanya vizuri.

Mungu ni mwema wakati wote.
 
Baada ya kusikiliza hii press ya mawaziri watatu yaani Dr Mwigullu Dr Ndugulile na Ummy Mwalimu nashawishika kusema ni vema wizara ya mipango ikajitegemea.

Sijaona uratibu unaoshawishi kisomi kwenye hii press na kama tungekuwa na waziri wa mipango anayejitegemea tusingefika huku kote.

Wizara ya fedha haihitaji siasa ndio maana marehemu wawili Stephen Kibona na Dr Mgimwa walifanya vizuri.

Mungu ni mwema wakati wote!
Unataka tuongezewe mzigo wananchi? kwa uzee wako unadhani wizara ni Waziri pekee?
 
Baada ya kusikiliza hii press ya mawaziri watatu yaani Dr. Mwigulu Dr. Ndugulile na Ummy Mwalimu nashawishika kusema ni vema wizara ya mipango ikajitegemea.

Sijaona uratibu unaoshawishi kisomi kwenye hii press na kama tungekuwa na Waziri wa Mipango anayejitegemea tusingefika huku kote.

Wizara ya Fedha haihitaji siasa ndio maana marehemu wawili Stephen Kibona na Dr Mgimwa walifanya vizuri.

Mungu ni mwema wakati wote!
Samia siyo mtaalamu wa haya mambo na hakuna mwenye akili wa kumshauri huko CCM, labd akodi toka Europe (Western)/USA
 
Mkuu with all my respect kwako,nchi inahitaji kuwa na serikali ndogo sio uchafu huu tuliokua nao,wizara 10 to 15 zinatosha sana na after all watanzania wanahitaji service delivery,nikiwa President kwa 24hrs kufikia 1400 hrs nchi itabakiwa na wizara 12tu na wabunge 150tu.,Mikoa 20tu na wilaya 150 tu,RCs na DCs wote watapumzishwa.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom