Richard
JF-Expert Member
- Oct 23, 2006
- 14,939
- 20,399
Kwani mjeda mkuu alifanikiwa kufikisha ule ujumbe?Kwanza nianze kwa kumpa mama pole ya uchovu wa safari. Ninamwomba apigane na upandaji wa gharama za maisha hasa bei za vitu mbalimbali. Unfortunately, this's placing a notable stain on her beautiful leadership gown.
Hata hivyo, namshauri mama ampigie simu Venance wanywe nae chai halafu wapige picha.
Personally nitafurahi maana sijamwona Mabeyo siku nyingi.
Ukimya wake unanistua!. Siku njema.
Na kama ujumbe ulipokewa ulifanyiwa kazi?