Hunaijua katiba ya nchiMahakama ni muhimili mwingine na Rais hatakiwi kuuingilia
Si kweli.Na
Nahisi upepo wako uko kwenye pesa tu lakini hauko kwenye uandishi!
unaelewa maana ya mtu kukuuliza swali? yani nikuulize swali alafu mimi ndiye nijibu? uko timamu kweli kichwani?Msingi wa uandishi ulitaka baada ya kuniuliza kama naelewa maana ya mtandao, ulitakiwa unieleze maana yake, ili iwe wazi kwamba tunajadili kitu kimoja baina yetu.
Ni wewe ndiye umeyafanya na sio mimi.Sasa haya majadiliano umeyafanya yawe marefu bila ya ulazima.
Hili ndilo swali langu la msingi, na nnahitaji majibu kama huna usini-quote tena.Nini maana ya mtandao?
Hata Mungu anajua!naona alichokosea kijana ni kuandika tu hilo neno bwege, lakini siasi kweli ni za maigizo mwanzo mwisho
mkuu, ni kweli kabisa. ina maana kila rais anakuja na lake. huyu akiamua kujenga sawa, akija mwingine akaamua kubomoa nayo ni sawa pia. nchi haina utaratibu na awamu za serikali si za wananchi. leo serikali ya john jana ilikuwa serikali ya jakaya.Hata Mungu anajua!
kwanini huwezi kumuita hivyo kama anayo yafanya yanastahili hiyo sifa kunakosa gani??utandawazi tunaulazimisha wakati uko speed zaidi yetu alafu tunataka tuukimbizeHuwezi kumuita Rais bwege, mwalimu wako tu darasani huwezi kumuita hivyo, sembuse Rais.
Mungu anajua nini au kuhusu ufisadi wa Lowasa?Hata Mungu anajua!
hili suala halihitaji hasira ,ni busara kama lilivyowasilishwa ,sisi sote ni binadamu hakuna aliye mkamilifu.Afungwe kabisa huyo Hana adabu asipewe dhamana na iwe fundishooooooo
Hasa Ukizingatia, Rais wakati wa Kampeni sio yeye binafsi alikaa katikati ya Vijana Waliomtukana Lowassa Kila tusi Duniani na Kuzimu, Na mengine juu ya Afya yake ambayo hakuna Utamaduni hata wa Kishenzi namna gani utavumilia haya akakaa kimya. Wengine hata ni Mawazi katika serikali yake. Namtoa Nape Kama Mfano.Raisi Magufuli,wewe ukiwa ni mwanasiasa unapaswa kuwa makini na mambo "madogomadogo" ambayo ukiyapuuza yatakujenga zaidi kuliko ukiyapa uzito.
Kwa ushauri wangu,jambo unalopaswa kutolipa uzito kwa sasa na hii kesi ya kijana Isaack wa mkoani Arusha anaetuhumiwa kukutukana.Kesi ya aina hii kwa mwanasiasa katika dunia ya leo si jambo jema sana hivyo ni bora tu kuachananayo.
Mh,ninaakika kesho ukiagiza Polisi waifute kesi hiyo,utakuwa umejizolea point nyingi sana kisiasa kuliko ukiacha kesi hiyo iendelee.Sifa ya mwanasiasa ni uvumilivu na hata mzee Sitta aliwahi sema Bungeni kuwa mwanasiasa unapaswa kuwa na roho ngumu hivyo mh.jambo hili litazame upya.
Mh.Raisi labda nimalize kwa kukuulize swali hili:
Unakumbuka ni nani aliwaita wapinzani watoto ndani ya Bunge?
NB:Mh.Raisi, ukiomba/ukielekeza wahusika wafute hii kesi hawa hawa wanaokejeli hili wazo langu ndio watakuwa wa kwanza kukusifia.
Sama hizo ziliisha Lini, Baada ya CCM Kuzunguka na Kumtukana Lowassa Kila tusi Duniani na Kuzimu, huku Magufuli akiwa amekaa na Kuchekelea? Acha unafiki!!!!!!!!!!!! zama za Matusi zimeisha usinitake Nitapike!sheria lazima ichukue mkondo wake kamanda, zama zile za matusi hazipo tena. lazima wachache waumie kwa matendo yao ili wengine wajifunze. tuache kuishi kwa mazoea.
Tatizo lenu bado mnafikiri tuko kwenye siasa na utawala wa miaka ya 70 na 60 kurudi nyuma.
Sijui tumite member wa uko wa....... kila mtu.....?Yeye katukana Watanzania wenzake kwa kuwaita mashetani, na yeye mkwapuzi wa nyumba na kulitia hasara Taifa ya shilingi 38 trilioini na mnunuzi wa boti bovu kwa shilingi bilioni 8 ambalo lilifanya kazi wiki tatu tu pia mhujumu uchumi tumuite jina lipi baya?