yahoo
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 3,527
- 1,405
Napenda sana utendaji Wa mkuu Wa mkoa Wa Dar es salaam mh. Paul Makonda. Mbali na hapo, nimeona akikagua ukarabati Wa magari yaliyokuwa mabovu yakikarabatiwa mkoani Moshi, nilifurahishwa na jambo hilo.
Lakini kisichonifuraisha ni kuona magari hayo yakiwa yameandikwa neno "Police" lugha ambayo ni kingereza na ni kinyume na lugha yetu ya Kiswahili. Nakumbuka zamani magari yote ya polisi yalikuwa yameandikwa kwa lugha ya kiswahili yani "Polisi" Hata kama yamenununuliwa uingereza yalibadilishiwa maandishi kabla ya kuingizwa barabarani.
Asante tuienzi lugha yetu
Lakini kisichonifuraisha ni kuona magari hayo yakiwa yameandikwa neno "Police" lugha ambayo ni kingereza na ni kinyume na lugha yetu ya Kiswahili. Nakumbuka zamani magari yote ya polisi yalikuwa yameandikwa kwa lugha ya kiswahili yani "Polisi" Hata kama yamenununuliwa uingereza yalibadilishiwa maandishi kabla ya kuingizwa barabarani.
Asante tuienzi lugha yetu