1800
JF-Expert Member
- Dec 27, 2010
- 2,215
- 603
Wadau habari,samahanini kwa wale ndugu zangu wenye uzoefu na shule za watoto wadogo (nursery) umri kati ya miaka 4 - 6 naomba mnisaidie kutambua shule nzuri hasa katika maeneo ya Tabata ikiwezekana hata Bunju pia,
Kama nitafanikiwa kujua na nursery schools zitoazo huduma ya boarding kwa maeneo hayo nitashukuru sana!asanteni.
Kama nitafanikiwa kujua na nursery schools zitoazo huduma ya boarding kwa maeneo hayo nitashukuru sana!asanteni.