kanyela mumo
JF-Expert Member
- Jun 16, 2016
- 2,034
- 2,106
Tuna shida ya hiyo dawa, na wewe una shida na pesa yetu. Toa mchanganuo hapa hapa kwa uwazi. Sio mtu anapiga simu mnaanza kupatana bei badili ya kuzama kwenye point.
Toa mchanganuo wa bei. Pombe kiasi kadhaa.. sigara shs kadhaa lasivyo utakuwa wizi au utapeli.
Toa mchanganuo wa bei. Pombe kiasi kadhaa.. sigara shs kadhaa lasivyo utakuwa wizi au utapeli.