Njia za kufuata ili kuachana na unywaji wa Pombe na Ulevi uliopitiliza

Pole Sana!
Anza kwa kubadili life style, badili marafiki japo vigumu, jiunge na club za mazoezi, jilazimishe kupenda sana kuwa home mapema muda unapomaliza majukumu ya kutafuta kipato yaani baada ya kutoka kibaruani utapata tabu siku za mwanzo baadae utazoea! Hii kitu ilinitesa sana kwa kipindi kirefu nilipoamua sasa naishi maisha matamu sana japo nilimaliza miezi mitatu sipati usingizi! Nimepata hasara kidogo ya kupoteza marafiki karibu wote karibu mwaka wa tano sasa
Ahsante Muhina
 
Yaani kuzimu unaiona karibu zaidi ya ukaribu wa shati na ngozi
Alafu jioni ikifika unaanza moja na ukijua wazi kuwa utaumwa kama ulivyouguwa asubuhi!
Hili la pombe walahi ni pepo hai kabisa!
Kuna ambao wanajua kuimudu lakini alcholics we acha tu!
Utagombana na kila mtu, na kujifanya mjuaji wa kila kitu!
Kesho yake unashinda kwenye simu kuomba misamaha kwa watu uliowaudhi, alafu jioni yake unaanza tena moja!
Walahi pombe ni mwanaharamu kweli kweli!
Duh staki skia kabisa!
 
Pole Sana!
Anza kwa kubadili life style, badili marafiki japo vigumu, jiunge na club za mazoezi, jilazimishe kupenda sana kuwa home mapema muda unapomaliza majukumu ya kutafuta kipato yaani baada ya kutoka kibaruani utapata tabu siku za mwanzo baadae utazoea! Hii kitu ilinitesa sana kwa kipindi kirefu nilipoamua sasa naishi maisha matamu sana japo nilimaliza miezi mitatu sipati usingizi! Nimepata hasara kidogo ya kupoteza marafiki karibu wote karibu mwaka wa tano sasa
Hongera sana na ubarikiwe!
 
Alafu jioni ikifika unaanza moja na ukijua wazi kuwa utaumwa kama ulivyouguwa asubuhi!
Hili la pombe walahi ni pepo hai kabisa!
Kuna ambao wanajua kuimudu lakini alcholics we acha tu!
Utagombana na kila mtu, na kujifanya mjuaji wa kila kitu!
Kesho yake unashinda kwenye simu kuomba misamaha kwa watu uliowaudhi, alafu jioni yake unaanza tena moja!
Walahi pombe ni mwanaharamu kweli kweli!
Duh staki skia kabisa!
Uliwahi kuonja?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom