Mjasiriamali1
JF-Expert Member
- Jun 8, 2009
- 891
- 237
simu yangu pendwa niliiangusha, ikapata crake mwishoni sina mpango wa kubadilisha wala kuiacha. ni Samsung note 8, Kuna scree protector za aina nyingi sasa sijui niweke ya aina gani kusolve ilo tatizo. naomba ushauri