Sigara Kali
JF-Expert Member
- May 28, 2017
- 3,623
- 8,428
Wakuu Salamu kwenu
Nipo Wilaya ya Ilemela kata ya Shibula katika Jiji la Mwanza
Sasa Nina laki 5 (500,000/-) je hii naweza kufungua biashara gani ambayo itanipa faida fresh na haitakuwa na usumbufu usumbufu
Nahitaji ushauri wenu na mawazo yenu hasa kutoka kwa wazoefu wa biashara.
Asante
Nipo Wilaya ya Ilemela kata ya Shibula katika Jiji la Mwanza
Sasa Nina laki 5 (500,000/-) je hii naweza kufungua biashara gani ambayo itanipa faida fresh na haitakuwa na usumbufu usumbufu
Nahitaji ushauri wenu na mawazo yenu hasa kutoka kwa wazoefu wa biashara.
Asante