fralay97benami
Member
- Aug 13, 2017
- 17
- 11
Mimi ni muhitimu kidato cha sita mwaka 2017 kwa bahati mbaya nimepata Div.3.14 yaani DEE mchepuo wa CBG kwa bahati mbaya sina sifa za kujiunga katika ngazi ya degree kwenye chochote hapa nchini.
Lengo la uzi huu baada ya kukaa kwa muda mrefu kufikiria nikapata mawazo ya kurudia mtihani yaani kuresiti kama private candidate lakini kutokana na matokeo ya PC wa mwaka wangu matumaini yanapotea kabisa nikaona bora ni unge moja kwa moja chuo kwa ngazi ya diploma miaka mitatu na nishaanza chuo tayari kwenye chuo kimoja huko Boko lakini wakati nimeanza chuo nikapata wazo la kuresiti wakati nipo naendelea na diploma pale nitakapotusua naachana na diploma napiga degree!
Kwenu wakuu mnaonaje wazo langu ushauri wenu, je inawezekana?
Lengo la uzi huu baada ya kukaa kwa muda mrefu kufikiria nikapata mawazo ya kurudia mtihani yaani kuresiti kama private candidate lakini kutokana na matokeo ya PC wa mwaka wangu matumaini yanapotea kabisa nikaona bora ni unge moja kwa moja chuo kwa ngazi ya diploma miaka mitatu na nishaanza chuo tayari kwenye chuo kimoja huko Boko lakini wakati nimeanza chuo nikapata wazo la kuresiti wakati nipo naendelea na diploma pale nitakapotusua naachana na diploma napiga degree!
Kwenu wakuu mnaonaje wazo langu ushauri wenu, je inawezekana?