Pantomath
JF-Expert Member
- Jan 4, 2019
- 789
- 3,225
Naomba msaada,
Mimi ni mtundu wa android ila ios sina ujanja kabisa sababu hua sio shabiki wa ios, sasa kuna mtu kaniamini kanipa hela anahitaji nikamchukulie, sitaki kumuangusha.
Mara nyingi nasikia wengi wakilalamikia sijui Apple ID, kama sikosei wanasema waweza uchukue baadae inahitaji uifungue inasumbua,
hiki ndio hasa nahitaji kujua.
Haya yafuatayo nayajua hivyo nishauri nje ya hapa.
Refurb,
Mtumba,
Battery health
Kama kuna cha muhimu sijakitaja naomba pia msaada.
Mimi ni mtundu wa android ila ios sina ujanja kabisa sababu hua sio shabiki wa ios, sasa kuna mtu kaniamini kanipa hela anahitaji nikamchukulie, sitaki kumuangusha.
Mara nyingi nasikia wengi wakilalamikia sijui Apple ID, kama sikosei wanasema waweza uchukue baadae inahitaji uifungue inasumbua,
hiki ndio hasa nahitaji kujua.
Haya yafuatayo nayajua hivyo nishauri nje ya hapa.
Refurb,
Mtumba,
Battery health
Kama kuna cha muhimu sijakitaja naomba pia msaada.