Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,492
- 92,929
Jiunge na chama cha Lowasa! maana ndiye anaekuweka mjini, na ningeomba kukutahadharisha kwamba hapa JF usidhani ni facebook unapoweza kuongea uharo na wapuuzi wenzako, nitaweka post zako zote za kumpamba Lowasa mpaka utashangaa usidhani hapa kitu ukipost leo ndio kimepita, tupo wataalam wa kutunza data.Ole wako dogo hizi njaa na bia za kununuliwa zitawafanya hata mtolewe posa na wanaume wenzenu. am just warning u!