relis
JF-Expert Member
- May 24, 2015
- 3,188
- 4,762
Salaam wakuu!
Baada ya kuhangaika sana nimefanikiwa kupata milioni 6 ya mkopo bank, sasa nilikuwa nahitaji kuwekeza katika ufugaji, eneo la kufugia ninalo tayari lenye ukubwa wa heka 30 na ni eneo la mashambani kidogo.
Kwa eneo nilipo kwa ujenzi naweza tumia tofali za kuchoma kwa ujenzi kwa kuwa zinapatikana na pesa niliyonayo nahitaji kuitumia kwa ajili ya ujenzi wa kibanda cha mlinzi, mabanda ya mifugo na ununuzi wa mifugo.
Msaada na nini nifuge kwa kurudisha pesa haraka.
Baada ya kuhangaika sana nimefanikiwa kupata milioni 6 ya mkopo bank, sasa nilikuwa nahitaji kuwekeza katika ufugaji, eneo la kufugia ninalo tayari lenye ukubwa wa heka 30 na ni eneo la mashambani kidogo.
Kwa eneo nilipo kwa ujenzi naweza tumia tofali za kuchoma kwa ujenzi kwa kuwa zinapatikana na pesa niliyonayo nahitaji kuitumia kwa ajili ya ujenzi wa kibanda cha mlinzi, mabanda ya mifugo na ununuzi wa mifugo.
Msaada na nini nifuge kwa kurudisha pesa haraka.