Queen matty
Member
- May 14, 2016
- 84
- 87
Bajaji ipi ya milioni 7, ya abiria au ya mizigo?!Ongeza milioni moja ununue bajaji basi Ufanye biashara ya usafiri
Bajaji ipi ya milioni 7, ya abiria au ya mizigo?!Ongeza milioni moja ununue bajaji basi Ufanye biashara ya usafiri
40,000 kwa siku
Anapatikana wapi boss?UNAMJUA TIPS MASTER? mtafute huyu MTU Utanishukuru baadae
UNAMJUA TIPS MASTER? mtafute huyu MTU Utanishukuru baadae
Hakika.uoga wake ndio umasikini wake.Bet Odd 2.3 tu, kesho unaamka na million 12
Kabisa, akipata hio 12 milioni, anaweka tena Odd 2.0 ...baada ya mwezi hakosi ml 100.Hakika.uoga wake ndio umasikini wake.
Bet Odd 2.3 tu, kesho unaamka na million 12
Kabisa, akipata hio 12 milioni, anaweka tena Odd 2.0 ...baada ya mwezi hakosi ml 100.
Life is very easy kwenye karatasi
Kunywa gongoWapambanaji mambo ni vipi,
Mwezi unakata hata sijui nifanye biashara gani sababu kila nikicheki biashara ya kufanya sioni.
Nilikua najichanga changa mwezi uliopita nikapiga hesabu nikapata million sita na point kazaa ila sasa shida inakuja kwenye kuchagua biashara ya kufanya kwani sipati majibu sahihi.
Humu ndani kuna wataalam wa masuala ya biashara nipeni ushauri nifanye biashara gani ambayo nitaona matunda,? Nipo dsm.
NB: Atakae nipa business plan nzuri zawadi ipo
Jaribu ndo ujue
Kilo 1600+usafiri+garama zingine faida=-ve mkoa wa mwanza mchele mashineni ni 1000kg sokoni 1200-1300Karibu singida nina mchele wa Super ntakuuzia Kwa shng 1600/= Kwa kilo ukipeleka dar utauuza Kwa 2000/=kilo ... Tafakari mchele soko lipo njoo chukua mchele.
Njoo tulime tikiti mkuu
Tumekosa mtu mwenye mtaji tu wa kushirikiana nae.
Tupo wawili, mmoja ni expert wa haya masuala muda mrefu.
Ardhi ipo wala sio ya kukodi, rutuba ya kutosha
Maji yapo (ya mto mara na mabwawani, yanapatikana muda wote).
Wateja wa tikiti wapo wala sio wa kuhangaikia (kutoka kenya, tarime, musoma na serengeti)
Ikipatikana milioni 2 inatosha kabisa
Uwezekano wa kupata 4 mil net profit (baada ya miezi mitatu) kwa kila mmoja wetu baada ya kuondoa mtaji (2mil ) upo kabisa.
💪Kilimo hiki huanza mwezi wa 5
Karibu sana (nashauri uje kabisa tuonane ili kuongeza uaminifu zaidi)
Eneo la kilimo ni wilaya ya serengeti
Kata ya kisaka
Kijiji cha Borenga
Katika bonde la mto Mara
Mawasiliano: 0744033555
Fanya Biashara ya kununua na kuuza nguo za ndani za, na hasa zile za bei za kawaida za kike na kiume wakubwa na watoto kutoka Dar kariakoo.Wapambanaji mambo ni vipi,
Mwezi unakata hata sijui nifanye biashara gani sababu kila nikicheki biashara ya kufanya sioni.
Nilikua najichanga changa mwezi uliopita nikapiga hesabu nikapata million sita na point kazaa ila sasa shida inakuja kwenye kuchagua biashara ya kufanya kwani sipati majibu sahihi.
Humu ndani kuna wataalam wa masuala ya biashara nipeni ushauri nifanye biashara gani ambayo nitaona matunda,? Nipo dsm.
NB: Atakae nipa business plan nzuri zawadi ipo
Dah! Ulipataje hela mpaka ikakosa matumizi?
Yaani hata ningeokota 50+m, ingeisha ndani ya wiki.
Natafuta hata m kwa mbinde balaa