Niite Profesa
Senior Member
- Jun 19, 2015
- 100
- 106
Habarini WanaJF,
Mimi ni mhitimu wa Diploma ya Ualimu shule za msingi mwaka 2019...nikiwa na GPA ya 4.0
Naombwa kufahamishwa kama inawezekana kwangu kuweza kusoma Bachelor of Education in Science au Bachelor of Science with Education, Ilhali sikusoma Diploma ya Ualimu wa sekondari.
Alama zangu kwa masomo ya Science O-Level ni:
- Phsics C
- Chemisty C
- Biology C
- Mathematics F
Mimi ni mhitimu wa Diploma ya Ualimu shule za msingi mwaka 2019...nikiwa na GPA ya 4.0
Naombwa kufahamishwa kama inawezekana kwangu kuweza kusoma Bachelor of Education in Science au Bachelor of Science with Education, Ilhali sikusoma Diploma ya Ualimu wa sekondari.
Alama zangu kwa masomo ya Science O-Level ni:
- Phsics C
- Chemisty C
- Biology C
- Mathematics F
Naamini katika hili jukwaa ndio mahali sahihi napoweza kupata msaada juu ya hili suala. Kumekuwa na mkanganyiko mkubwa sana kwa watu nilokwisaha wauliza juu ya hili suala.
Naomba Kuwasilisha 🙏🙏🙏
Naomba Kuwasilisha 🙏🙏🙏