DAVID PALMER
JF-Expert Member
- Jan 19, 2020
- 285
- 1,447
Wakuu. Habari zenu.
Katika pita pita zangu za kusaka pesa, nimekutana na milioni 4. Sasa nashindwa nifanye kipi kati ya hayo mawili.
Mi naishi Madale kwenye kibanda changu vyumba wiwili na sebule. Nimehamia nyumba haina finishing bado. Si marumaru, si plaster, na sakafu ni rough floor. So nawaza hii milioni 4 nifanyie finishing.
Au wazo jingine ni hili. Hapa jirani ninae pakana nae anataka kuniuzia eneo lake 2m. Nawaza ninunue, then nijenge banda la kuku, nianze ufugaji wa kuku kienyeji. Then wife atakuwa anasimamia na kuhudumia. Me nikiwa naendelea kwenda job.
Hii milion4 siitegemei kwa ajili ya kula.. maswala ya kula na maisha mengine me ni mfanyakazi nalipwa kila mwezi.
Katika pita pita zangu za kusaka pesa, nimekutana na milioni 4. Sasa nashindwa nifanye kipi kati ya hayo mawili.
Mi naishi Madale kwenye kibanda changu vyumba wiwili na sebule. Nimehamia nyumba haina finishing bado. Si marumaru, si plaster, na sakafu ni rough floor. So nawaza hii milioni 4 nifanyie finishing.
Au wazo jingine ni hili. Hapa jirani ninae pakana nae anataka kuniuzia eneo lake 2m. Nawaza ninunue, then nijenge banda la kuku, nianze ufugaji wa kuku kienyeji. Then wife atakuwa anasimamia na kuhudumia. Me nikiwa naendelea kwenda job.
Hii milion4 siitegemei kwa ajili ya kula.. maswala ya kula na maisha mengine me ni mfanyakazi nalipwa kila mwezi.