Mimi ni Mwanamke nimeolewa nina watoto wawili,ila kuna huyu house boy anaitatiza sana yaani ananivutia mnoo kwanzia body yake mimi hoi jamani namtamani kwelikweli kila nikimuona nalowa ila mume wangu ndo kikwazo ushauri tafadhali.
From a Friend.
Mapovu ruksa jameni
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo kwenye bold. Kama mume ni kikwazo mwambie aombe talaka yake huyo mwanamke then amchukue house boy akaishi nae. Wanawake wengine ni hopeless kabisa. Pumbav