masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 17,803
- 13,034
Mi si kijana mudogo lakini katika ngano za mapenzi nimo!
Nina mpenzi wangu na imezaa naye mtoto, ila familia yangu katu haifahamu isipokuwa wachache sana. Na kwa kweli huyu bibie si tu nampenda , ila ni musweet sana, umbo poa sura nzuri sana na hata (wo)3 ni poa kabisa.
Sasa huyu sumolu hausi akaamua kuolewa vile vile na ikawa afadhali kwangu maana iliniondolea majukumu mengi iidogo.
Lakini cha kushangaza huyu bibie ananirudia rudia kwa kila kitu kuanzia kodi ya nyumba hadi matumizi ya nyumbani.
Kijana mwenziwe wanagombana kwa vile mshiko hautoshi. Sasa hii imenikera maana nakuwa kama natunza bado familia mbili.
Nashindwa kumtolea nje kwa sababu ya mtoto wangu, lakini cha moto nakiona bulungutu linavyonitoka.
Wanawake hasa, hebu nishaurini!
Nina mpenzi wangu na imezaa naye mtoto, ila familia yangu katu haifahamu isipokuwa wachache sana. Na kwa kweli huyu bibie si tu nampenda , ila ni musweet sana, umbo poa sura nzuri sana na hata (wo)3 ni poa kabisa.
Sasa huyu sumolu hausi akaamua kuolewa vile vile na ikawa afadhali kwangu maana iliniondolea majukumu mengi iidogo.
Lakini cha kushangaza huyu bibie ananirudia rudia kwa kila kitu kuanzia kodi ya nyumba hadi matumizi ya nyumbani.
Kijana mwenziwe wanagombana kwa vile mshiko hautoshi. Sasa hii imenikera maana nakuwa kama natunza bado familia mbili.
Nashindwa kumtolea nje kwa sababu ya mtoto wangu, lakini cha moto nakiona bulungutu linavyonitoka.
Wanawake hasa, hebu nishaurini!