Ushauri: Nilimuomba tigo ili nijue ana msimamo gani, sasa kaniacha

Mr mgeni

JF-Expert Member
Apr 27, 2014
1,222
803
Haikuwa dhamira yangu kufanya hivyo, nilitaka kujua ana msimamo wa namna gani. Kanimwaga jamani bado nampenda sana lakini ndo hanielewi hadi marafiki zake nimemtumia lakini anawachomolea kwa matusi.

Wadau naombeni ushauri nifanye nini ili arudi?
 
Haikuwa dhamira yangu kufanya hivyo, nilitaka kujua anamsimamo wa namna gani.Kanimwaga jamani bado nampenda sana lakini ndo hanielewi.hadi marafiki zake nimemtumia lakini anawachomolea kwa matusi.
Wadau naombeni ushauri nifanye nini ili arudi?
Uliombaje? Kama uliomba kibabe hili lililokukuta ilibidi ulitarajie.

Sielewi unapowaambia rafiki zake wakusuluhishe kama unawaambia na kilichosababisha mgombane, ila waambie wamwambie kua hakuna kosa kwa wapenzi kua adventurous na kujaribu vitu vipya. Ni kuongeza ladha na kurevive ambacho kingekufa.

Over time atatulia kwa sasa endelea na ratiba zako za kila siku.
 
Haikuwa dhamira yangu kufanya hivyo, nilitaka kujua anamsimamo wa namna gani.Kanimwaga jamani bado nampenda sana lakini ndo hanielewi.hadi marafiki zake nimemtumia lakini anawachomolea kwa matusi.
Wadau naombeni ushauri nifanye nini ili arudi?
Pumbavu:
tarehe 9/Januar mnafungua shule hivyo jiandae na Masomo ya Kidato cha Kwanza..
 
Sitakupa pole nitakupa koma, hata kama ni kwa utani, tuache kutumia wanawake vibaya. Hivi kama tukianza kutafuta tigo za wanawake hawa baada ya miaka 20 si zaidi ya asilimia 60 ya madem waote watakuwa washafanyiwa huo mchezo? Sisi na generation inayokuja tutaoa nini sasa? (kumbuka kwamba sasa hiv tunalalamika kuoa wanawake waliokwisha kuchezewa na kwamba hamna/ukosefu wa mabikra wakuoa) kizaz kijacho watalalamikia kukosa wake kwa wanaume kuwachezea wanawake tigo. This is too much.
 
Ningekuwa yeye ningekumwagia maji ya moto kabisa. How dare mwanaume unathubutu kumtaka mpenzi wako mapenzi kinyume na maumbile? Heshima na adadu haviuzwi. Ninatamani Mungu awalaani wale wote wanaonyanyasa wanawake au kulawiti ili nao watoto wao mpaka kizazi cha nne wafanyiwe hivyo. Acheni laana isiwakumbe vizazi vyenu. Ombeni toba kwa Mungu.
 
Back
Top Bottom