Aishah2016
JF-Expert Member
- Jun 11, 2016
- 2,225
- 2,482
Rudi tena ukaombe TTCL
Anastahili akuache shenzi time unaachaje kitu kitamu unafuata kitu kichafu...Haikuwa dhamira yangu kufanya hivyo, nilitaka kujua anamsimamo wa namna gani.Kanimwaga jamani bado nampenda sana lakini ndo hanielewi.hadi marafiki zake nimemtumia lakini anawachomolea kwa matusi.
Wadau naombeni ushauri nifanye nini ili arudi?
We muongo ungepiga Tigo Brook admit de truth?ndio
Ukome, safi sana. Kwani matumizi ya hilo shimo ndio hayo. Ulaaniwe kabisa. Huyo mwanamke ana akili sana. I wish ningemjua nimpe zawadi. Toa tundu lako kwani huna weweHaikuwa dhamira yangu kufanya hivyo, nilitaka kujua anamsimamo wa namna gani.Kanimwaga jamani bado nampenda sana lakini ndo hanielewi.hadi marafiki zake nimemtumia lakini anawachomolea kwa matusi.
Wadau naombeni ushauri nifanye nini ili arudi?
Yeye angemuacha kwa kudhania ni mtoa tigo, na asingemuamini kabisa maana angesema alishwahi gawa tigo kwa wengineangekukubalia jee ungekataa???
Sumu haionjwi..safi sana ningekua namjua hyo mwanamke ningemuoa maana hapendi upumbavu . Coz huna akili na ukiendeleza kila siku utaachwa...Haikuwa dhamira yangu kufanya hivyo, nilitaka kujua anamsimamo wa namna gani.Kanimwaga jamani bado nampenda sana lakini ndo hanielewi.hadi marafiki zake nimemtumia lakini anawachomolea kwa matusi.
Wadau naombeni ushauri nifanye nini ili arudi?