Nilitaka nimjibu hivohivo na rejea iwe Dr MwakaImani yake ni ipi?
Aoe kama Dr.Mwaka.
Swali la kijinga sana hili!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkeo anasemaje? Yeye ndio wa kumuuliza sio wana JF.Wadau kama heading inavyoeleza, mimi kuna kipindi nilikuwa na mahusiano na single mother kabla sijaoa, ambaye amefankiwa kunizalia mtoto..
Baadae kidogo nikaoa msichana mdogo ambaye ndo mke wangu wa maisha.
Nimekaa natafakari kuwa huyu single maza namwachaje? Je nimuoe awe mke mdogo??? Nipo njia panda wadau, ushauri wenu ni muhimu sana!!!! Karibuni sana wadau.
Acha ujuaji ww kwani hujaona apo kasema mwanamke alikuwa ameshazalishwa kabla alafu watu kama nyie ndyo waaribifu kama niniDaah muharibifu mkubwa hivi hawa watoto watu mnaowazalisha mnategemea nani atawaoa ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanawake wanajidharaulisha wenyewe wala msitulaumu sie wanaume.Mnasababisha wanawake wadharaurike sababu ya mihemko yenu wajinga wachache, hapo unatengeneza picha gani mbele ebu chukulia tu iwe binti yako kafanyiwa hivyo
Sent using Jamii Forums mobile app
Double mamahata mimi sijamuelewa kijana...
ila unaroho mbaya sana..mwenzio tayari ni single mama..na wewe usivyokuwa nahuruma umeenda kuweka wakwako...sasa atakuwa ni double mama....
what if kama hawana tabia nzuri?Daah muharibifu mkubwa hivi hawa watoto watu mnaowazalisha mnategemea nani atawaoa ?
Sent using Jamii Forums mobile app