Ushauri: Niishi vipi na ndugu wa namna hii?

Habari!

Mimi ni kijana around 30, na nina ndugu yangu (mdogo wangu) wa baba mmoja mama tofauti naye ni around 30.
Sote tunaishi Dar es salaam, kila mmoja anajitegemea na ana familia yake. Tulikuwa tunawasiliana mara kwa mara hapo zamani miaka 3 kushuka chini.
Hachukulii suala la kujuliana hali kwa uzito kama ulivyo, kuna watu wanapenda kuwajulia wenzie hali na kuna ambao hawapo hivyo.
 
Mkuu kwanini uhangaike nae wakati kila mtu anapambania maisha yake kwanini usiachane nae na wewe ukafanya mambo yako. Unataka muwasiliane kila mara ili iweje?
Mimi nina ndugu yangu hapa mjini tunakumbukana kwenye kupeana taarifa za misiba tu zikitokea huko kijijini, tunaenda wote tukirudi kila mmoja busy na mambo yake.
 
ACHA KUKUZA MAMBO. HUYO JAMAA HANA NOMA NI KUWA TU ANAPAMBANA NA MAISHA YAKE.

PIA INAWEZEKANA KUNA KITU AMEGUNDUA KUTOKA KWAKO SASA ANAJARIBU KUKUKWEPA. INAWEZEKANA WEWE NI MBEA MBEA, MCHONGANISHI PIA UNAPENDA KUFATILIA MAISHA YA WATU NA KUYAANIKA HIVYO AMEAMUA KUKUKWEPA.
BANDIKO LAKO TU JF LINAONYESHA WEWE NI MTU WA AINA GANI. HIVI UNATAKA KUMBLOCK KWA KOSA GANI? WEWE UNAKUZA MAMBO TENA INAONEKANA NI MSHARI/MGOMVI!.
 
ACHA KUKUZA MAMBO. HUYO JAMAA HANA NOMA NI KUWA TU ANAPAMBANA NA MAISHA YAKE.

PIA INAWEZEKANA KUNA KITU AMEGUNDUA KUTOKA KWAKO SASA ANAJARIBU KUKUKWEPA. INAWEZEKANA WEWE NI MBEA MBEA, MCHONGANISHI PIA UNAPENDA KUFATILIA MAISHA YA WATU NA KUYAANIKA HIVYO AMEAMUA KUKUKWEPA.
BANDIKO LAKO TU JF LINAONYESHA WEWE NI MTU WA AINA GANI. HIVI UNATAKA KUMBLOCK KWA KOSA GANI? WEWE UNAKUZA MAMBO TENA INAONEKANA NI MSHARI/MGOMVI!.
Hebu rudia kusoma vizuri maandiko yangu.
 
Habari!

Mimi ni kijana around 30, na nina ndugu yangu (mdogo wangu) wa baba mmoja mama tofauti naye ni around 30.
Sote tunaishi Dar es salaam, kila mmoja anajitegemea na ana familia yake. Tulikuwa tunawasiliana mara kwa mara hapo zamani miaka 3 kushuka chini.

Miaka hii tunawasiliana ila si sana, tunawasiliana vizuri kama siku mbili tatu kisha mwenzangu anakuwa busy , ukimpigia simu hapokei na akipokea anaongea kinyonge mpaka unajishitukia (mimi), sometimes anakuambia nitakupigia basi hapo ndio amekuaga kijanja.

Muda mwingine nasema labda ubize kulingana na kazi yake lakini najiuliza kwanini akikutana na missed calls zangu hanibip au hanipigii.
Muda mwingine najisemea siku akijisikia atanitafuta, baada ya siku kadhaa ananitafuta tunalimiana poa, nasema sasa ngoja nimcheki Mimi hapo biashara ile ya awali ya kutokupokea simu yangu inaanza tena.

Vipi nimblock au nimwache tuishi kwa namna anayotaka yeye tu kwamba nisimtafute mpaka anitafute yeye?. Au nimuulize tatizo liko wapi? Note: Mimi simtafuti kwa shida zangu, namtafuta kwa ajili ya kumpa salamu tu na hata kiuchumi naweza kusema kuwa Mimi nina unafuu kidogo zaidi yake.
Mambo mengine ni kukocmplicate tu.
Wewe na hiyo nduguyo hamna bond ya pamoja..

Usichokijua ni kuwa ili muwe na mawasiliano ya mara kwa mara basi mngejenga bond kuwa ndugu tu haitishi ..muwe marafiki hapo ndio kunaweza kuwa na mawasiliano ya mara kwa mara ila kama mwenzio habari hana basi pigianeni simu hivyohivyo kimachale machale .
 
Habari!

Mimi ni kijana around 30, na nina ndugu yangu (mdogo wangu) wa baba mmoja mama tofauti naye ni around 30.
Sote tunaishi Dar es salaam, kila mmoja anajitegemea na ana familia yake. Tulikuwa tunawasiliana mara kwa mara hapo zamani miaka 3 kushuka chini.

Miaka hii tunawasiliana ila si sana, tunawasiliana vizuri kama siku mbili tatu kisha mwenzangu anakuwa busy , ukimpigia simu hapokei na akipokea anaongea kinyonge mpaka najishitukia, sometimes anakuambia nitakupigia hapo basi ndio kama amekuaga kijanja.

Muda mwingine nasema labda ubize kulingana na kazi yake lakini najiuliza kwanini akikutana na missed calls zangu hanibip au hanipigii.

Muda mwingine najisemea siku akijisikia atanitafuta, baada ya siku kadhaa ananitafuta tunasalimiana poa, nasema sasa ngoja nimcheki Mimi hapo biashara ile ya awali ya kutokupokea simu yangu inaanza tena.

Vipi nimblock au nimwache tuishi kwa namna anayotaka yeye tu kwamba nisimtafute mpaka anitafute yeye?. Au nimuulize tatizo liko wapi?

Note: Mimi simtafuti kwa shida zangu, namtafuta kwa ajili ya kumpa salamu tu na hata kiuchumi naweza kusema kuwa Mimi nina unafuu kidogo zaidi yake.
Sasa Kama umemzidi kipato?
 
Binafsi huichukulia simu kama kiungo cha mawasiliano na kupeana Taarifa tu. Haya mambo ya kupigiana simu kila siku eti tunasalimiana tu siyo muumini..

Ninahisi Ndugu yako naye ana Character hizi zangu.
 
Back
Top Bottom