mps
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 360
- 477
Habari zenu wakuu,Kiukweli kabisa naweza kusema kutopata kazi kwangu toka nimalize chuo 2014 kwa % kubwa tatizo ni mimi mwenyewe maana hadi sasa nimekwishafanya interview nyingi tu na namshukuru Mungu kwani sijawahi kukwama kwenye written lkn sasa kila nikifika Oral hollaa.
Kibaya zaidi wakati mwingine maswali yote nayoulizwa nayajua ila majibu yanatoweka kbs kichwani najikuta najibu point moja au nashindwa kbs hadi linaulizwa swali jingine.
Kwa kumbukumbu za hivi karibuni ni hizi kazi za TRA nilifanya usahili wa customs officer lkn hakuna cha maana nilichojibu na sio kwamba maswali yalinishinda! Laa hasha majibu yalitoweka kwenye chumba cha usahili
Imefikia hatua najilaumu kwa nini sikusomea kazi ambazo hazikuwa na interview kama ualimu au ningeenda tu jeshini/polisi maana hii ni aibu kubwa kujitambulisha nimesoma UDSM halafu kuelezea hata EAC nashindwa.
Sijui hata nifanyeje wakuu maana mda unaenda na madesa nayo yanazidi kuyeyuka kichwani
Kibaya zaidi wakati mwingine maswali yote nayoulizwa nayajua ila majibu yanatoweka kbs kichwani najikuta najibu point moja au nashindwa kbs hadi linaulizwa swali jingine.
Kwa kumbukumbu za hivi karibuni ni hizi kazi za TRA nilifanya usahili wa customs officer lkn hakuna cha maana nilichojibu na sio kwamba maswali yalinishinda! Laa hasha majibu yalitoweka kwenye chumba cha usahili
Imefikia hatua najilaumu kwa nini sikusomea kazi ambazo hazikuwa na interview kama ualimu au ningeenda tu jeshini/polisi maana hii ni aibu kubwa kujitambulisha nimesoma UDSM halafu kuelezea hata EAC nashindwa.
Sijui hata nifanyeje wakuu maana mda unaenda na madesa nayo yanazidi kuyeyuka kichwani