Jr. Gong Mira
JF-Expert Member
- Dec 14, 2017
- 1,279
- 1,295
Habari wakuu.
Natumai mpo salama. Mimi ni kijana msharaha wangu wa mwezi 350,000/= kwa mwezi.
Nina mke na mtoto mmoja ila naona maisha ni magumu mno kipato changu cha mwezi hakinitoshelezi hata kidogo ndani ya wiki mbili tu sina hela tena.
Naomba ushauri nifanye nini kwa kipato hicho angalau tarehe zikutane.
Ahsnte.
Natumai mpo salama. Mimi ni kijana msharaha wangu wa mwezi 350,000/= kwa mwezi.
Nina mke na mtoto mmoja ila naona maisha ni magumu mno kipato changu cha mwezi hakinitoshelezi hata kidogo ndani ya wiki mbili tu sina hela tena.
Naomba ushauri nifanye nini kwa kipato hicho angalau tarehe zikutane.
Ahsnte.