USHAURI: Niende kwenye ajira Serikalini au nisimimamie biashara za nyumbani?

Familia za kiafrica mtoto kwa wazazi huendelea kuwa subordinate tu hata ujitoe kufanya kazi za hapo kwenu utakacho ambulia ni kidogo sana ile thamani ya kuwa huyu mtoto ni professional tumjali kama ambavyo tungeajiri mtu haipo kwahiyo ndugu nenda kazini wakishaona uthamani wa uwepo wako watakutafuta na huenda watakulipa kama unavyolipwa serikalini
 
Huo mfumo wa biashara za nyumbani wanauweza wahindi ila kwetu kibongo bongo ni ngumu ukute ukoo mzima unawategemea nyie. So ni bora chako kidogo so mm nashauri uende kazini.
Biashara ni ya wazazi sio ya ukoo ,halafu kingine hawanipi mshaara
 
Umeandika kwa usahihi kweli??..
Kama wazazi wamsomesha na wanataka asimamie biashara za home na zina mtaji na mwelekeo mzuri hanabudi kubaki ktk biashara za home. Akilazimisha na wazazi wakanuna, huko serikalini hatafanikiwa. Nilikuwa na rafiki yangu Oljoro JKT baada ya FORM 6 in the '90s. Baba yake alikuwa mfanya biashara mkubwa na akamshauri asiende JKT pamoja na elimu ya juu, jamaa akakataa. Baba akanuna, siku moja weekend tunatoka Oljoro JKT kwenda Arusha mjini (30 km) wengine tulitembea kwa miguu na wenginen walisubiri malori ya mchanga. Wakati yeye na wenzake wanadandia lori yeye aliteleza na kudondoka barabarani na lori likampitia unyayo hadi kichwani na safari yake ikaishia palepale.
 
Habari za asubuhi?

Nishaurini katika hili nimepata ajira Serikalini Upande wa afya clinical officer soon tunatakiwa kuripoti kazini .

Upande wa pili wazazi wanamiliki pharmacy 2 na maduka mawili ya jumla ya dawa na dispensary moja , wazazi hawataki niende kwenye ajira ya Serikalini wanataka nisimimamie biashara zao lakini ndugu wamenishauri niende kwenye ajira serikalini kwa sababu serikalini kuna security.

Nisaidieni ushauri mdogo wenu ktk hili .

Ktk familia tupo watoto 2 tu , mdogo wangu bado anasoma.umri nina miaka 24
Nakushauri kama ifuatavyo:
Kwanza naamini umepangiwa kituo cha mbali na familia yako inayokutegemea katika usimamizi wa biashara za familia, kama jibu ni kweli nakuomba uende kuripoti katika kituo chako ulichopangwa, fanya kazi upate cheque number na mshahara uanze kuingia, baada ya hapo tafuta konekisheni ya uhamisho ili uhamie karibu na sehemu zilipo biashara zenu, utafanya kazi serikalini na jioni/weekend ,usiku utakuwa katika kusimamia biashara za familia. Madaktari wengi wamefanya hivyo na wamefanikiwa. Hakikisha unatumia muda vizuri wa kazi za serikali na usikubali kuongeza muda wa ziada hata kama kuna extra duty packages ili upate muda mzuri kusimamia biashara.Pia utapata fursa ya wateja ambao watakufuata mpaka kwenye biashara zenu
 
Biashara ni ya wazazi sio ya ukoo ,halafu kingine hawanipi mshaara
Umewahi kukaa kuwaambia wakulipe mshahara wakakataa?
Nenda serialini ukatukanwe na wanasiasa kama mtoto mdogo.
Serikalini tunaenda watu maskini tusio na hata mia mbovu ya mtaji kama sisi.
Wewe mna duka la jumla la madawa na dispensari juu bado unataka kwenda kupuyanga? Wewe sio mzima huko kichwani.
 
Habari za asubuhi?

Nishaurini katika hili nimepata ajira Serikalini Upande wa afya clinical officer soon tunatakiwa kuripoti kazini .

Upande wa pili wazazi wanamiliki pharmacy 2 na maduka mawili ya jumla ya dawa na dispensary moja , wazazi hawataki niende kwenye ajira ya Serikalini wanataka nisimimamie biashara zao lakini ndugu wamenishauri niende kwenye ajira serikalini kwa sababu serikalini kuna security.

Nisaidieni ushauri mdogo wenu ktk hili .

Ktk familia tupo watoto 2 tu , mdogo wangu bado anasoma.umri nina miaka 24
Praise
 
Nijibu haya maswali mkuu harafu ndo nikushauli,katika tumbo lenu mko wangapi,wewe ni mtoto wa ngapi kuzaliwa,je Kama una ndugu wengine wa baba na mama mmoja wako wapi na wanafanya nini(wameajiliwa/wamejiajili)?
 
Kama una interest za ku-practice hiyo taaluma yako nenda kwenye hiyo ajira, ingawaje unaweza kuwashauri wazazi wako wakuwezeshe ufungue clinic ambayo itakuwezesha wewe ku-practice taaluma yako na kusimamia hiyo biashara ya wazazi wako. Ushauri wa pili ni wa busara zaidi kwa sababu huko kwenye ajira unaweza kupata frustrations endapo huja meet expectations zako.......nafikiri huwa unasikia malalamiko ya miaka nenda rudi ya watumishi kuhusu kulipwa mishahara midogo isiyoendana na hali halisi ya maisha plus kukutana na maHR wenye roho mbaya na maneno ya kukatisha tamaa.
 
Habari za asubuhi?

Nishaurini katika hili nimepata ajira Serikalini Upande wa afya clinical officer soon tunatakiwa kuripoti kazini .

Upande wa pili wazazi wanamiliki pharmacy 2 na maduka mawili ya jumla ya dawa na dispensary moja , wazazi hawataki niende kwenye ajira ya Serikalini wanataka nisimimamie biashara zao lakini ndugu wamenishauri niende kwenye ajira serikalini kwa sababu serikalini kuna security.

Nisaidieni ushauri mdogo wenu ktk hili .

Ktk familia tupo watoto 2 tu , mdogo wangu bado anasoma.umri nina miaka 24
Ndugu gani wanaokushauri hivyo? Si unasema mko watoto wawili tu? Sasa ndugu gani anayekushauri ukaajiriwe uwaanche wazee wanateseka na biashara? Hao ndugu wanafanya kazi kwenye hayo maduka? Wanawaibia hao wazee wanaona kabisa ukiwapo wewe utadhibiti wizi pumbavu!!!
 
Chagua kile ambacho wewe mwenyewe unataka kukifanya.

Habari za asubuhi?

Nishaurini katika hili nimepata ajira Serikalini Upande wa afya clinical officer soon tunatakiwa kuripoti kazini .

Upande wa pili wazazi wanamiliki pharmacy 2 na maduka mawili ya jumla ya dawa na dispensary moja , wazazi hawataki niende kwenye ajira ya Serikalini wanataka nisimimamie biashara zao lakini ndugu wamenishauri niende kwenye ajira serikalini kwa sababu serikalini kuna security.

Nisaidieni ushauri mdogo wenu ktk hili .

Ktk familia tupo watoto 2 tu , mdogo wangu bado anasoma.umri nina miaka 24
 
Kama una interest za ku-practice hiyo taaluma yako nenda kwenye hiyo ajira, ingawaje unaweza kuwashauri wazazi wako wakuwezeshe ufungue clinic ambayo itakuwezesha wewe ku-practice taaluma yako na kusimamia hiyo biashara ya wazazi wako. Ushauri wa pili ni wa busara zaidi kwa sababu huko kwenye ajira unaweza kupata frustrations endapo huja meet expectations zako.......nafikiri huwa unasikia malalamiko ya miaka nenda rudi ya watumishi kuhusu kulipwa mishahara midogo isiyoendana na hali halisi ya maisha plus kukutana na maHR wenye roho mbaya na maneno ya kukatisha tamaa.
Si amesema wana dispensary pia? Hapo hapo ndipo penye fursa!
 
Habari za asubuhi?

Nishaurini katika hili nimepata ajira Serikalini Upande wa afya clinical officer soon tunatakiwa kuripoti kazini .

Upande wa pili wazazi wanamiliki pharmacy 2 na maduka mawili ya jumla ya dawa na dispensary moja , wazazi hawataki niende kwenye ajira ya Serikalini wanataka nisimimamie biashara zao lakini ndugu wamenishauri niende kwenye ajira serikalini kwa sababu serikalini kuna security.

Nisaidieni ushauri mdogo wenu ktk hili .

Ktk familia tupo watoto 2 tu , mdogo wangu bado anasoma.umri nina miaka 24
Kumbuka ni vigumu sana serikali kufilisika.

Habari za asubuhi?

Nishaurini katika hili nimepata ajira Serikalini Upande wa afya clinical officer soon tunatakiwa kuripoti kazini .

Upande wa pili wazazi wanamiliki pharmacy 2 na maduka mawili ya jumla ya dawa na dispensary moja , wazazi hawataki niende kwenye ajira ya Serikalini wanataka nisimimamie biashara zao lakini ndugu wamenishauri niende kwenye ajira serikalini kwa sababu serikalini kuna security.

Nisaidieni ushauri mdogo wenu ktk hili .

Ktk familia tupo watoto 2 tu , mdogo wangu bado anasoma.umri nina miaka 24
 
Nakushauri kama ifuatavyo:
Kwanza naamini umepangiwa kituo cha mbali na familia yako inayokutegemea katika usimamizi wa biashara za familia, kama jibu ni kweli nakuomba uende kuripoti katika kituo chako ulichopangwa, fanya kazi upate cheque number na mshahara uanze kuingia, baada ya hapo tafuta konekisheni ya uhamisho ili uhamie karibu na sehemu zilipo biashara zenu, utafanya kazi serikalini na jioni/weekend ,usiku utakuwa katika kusimamia biashara za familia. Madaktari wengi wamefanya hivyo na wamefanikiwa. Hakikisha unatumia muda vizuri wa kazi za serikali na usikubali kuongeza muda wa ziada hata kama kuna extra duty packages ili upate muda mzuri kusimamia biashara.Pia utapata fursa ya wateja ambao watakufuata mpaka kwenye biashara zenu
Yaaa, kuna madaktari ambao wanafanya kazi serikalini na wana hospitali zao pia, kama analiweza hili anaweza kutengeneza connection ya kupata wateja kwenye clinic na kwenye pharmacy yake ambao atakuwa anawahudumia kwenye muda wake wa ziada, pia akifanya kazi ya serikali atapata experience na exposure kubwa na akifanikiwa hili anaweza hata kuajiri watu wa kuendesha pharmacy na clinic yake yeye akabaki kuwa msimamizi mkuu na kuendelea na mishe zake kwenye ajira ya serikali.....
 
Back
Top Bottom