Dr Msweden
JF-Expert Member
- Nov 3, 2020
- 2,632
- 9,444
Habari za asubuhi?
Nishaurini katika hili nimepata ajira Serikalini Upande wa afya clinical officer soon tunatakiwa kuripoti kazini .
Upande wa pili wazazi wanamiliki pharmacy 2 na maduka mawili ya jumla ya dawa na dispensary moja , wazazi hawataki niende kwenye ajira ya Serikalini wanataka nisimimamie biashara zao lakini ndugu wamenishauri niende kwenye ajira serikalini kwa sababu serikalini kuna security.
Nisaidieni ushauri mdogo wenu ktk hili .
Ktk familia tupo watoto 2 tu , mdogo wangu bado anasoma.umri nina miaka 24
Nishaurini katika hili nimepata ajira Serikalini Upande wa afya clinical officer soon tunatakiwa kuripoti kazini .
Upande wa pili wazazi wanamiliki pharmacy 2 na maduka mawili ya jumla ya dawa na dispensary moja , wazazi hawataki niende kwenye ajira ya Serikalini wanataka nisimimamie biashara zao lakini ndugu wamenishauri niende kwenye ajira serikalini kwa sababu serikalini kuna security.
Nisaidieni ushauri mdogo wenu ktk hili .
Ktk familia tupo watoto 2 tu , mdogo wangu bado anasoma.umri nina miaka 24