Kiboko ya Jiwe
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 12,702
- 36,121
Hii tabia ya kukosa msimamo niliwahi kukosa ajira ya usalama wa taifa nilipomaliza form six na JKT.
Kuwa na msimamo, usiyumbishwe.
Kuwa na msimamo, usiyumbishwe.
Kama ndugu zako walikupa huo ushauri sasa unakuja kwetu kuomba ushauri wa nini wakati tayari una ndugu zako ,hayo mambo ya ndugu sisi hayatuhusu naomba ukamalizane na nduguzo ,hayo mambo yenu wana ndugu
Kasimamie biashara ya familia ingia kwa asilimia mia moja tena uweke mkakati wa kuikuza uzuri fani yako ni hiyo hiyo, ikiwa utaenda kuajiriwa usiende kwasababu ya ajira bali labda kama unataka kupata uzoefu zaidi wa kazi ili uwe mfanisi zaidi kwenye zahanati ya nyumbani.Habari za asubuhi?
Nishaurini katika hili nimepata ajira Serikalini Upande wa afya clinical officer soon tunatakiwa kuripoti kazini .
Upande wa pili wazazi wanamiliki pharmacy 2 na maduka mawili ya jumla ya dawa na dispensary moja , wazazi hawataki niende kwenye ajira ya Serikalini wanataka nisimimamie biashara zao lakini ndugu wamenishauri niende kwenye ajira serikalini kwa sababu serikalini kuna security.
Nisaidieni ushauri mdogo wenu ktk hili .
Ktk familia tupo watoto 2 tu , mdogo wangu bado anasoma.umri nina miaka 24
NimekuelewaKwahiyo kwenye hiyo dispensari ya familia hakuna security ???
Na je hiyo dispensary ya familia ni nani anafanya kazi?
Anyway, Gross salary ya C.O. Tsh 680,000 per month.
Mtoto wa kiume ni misimamo naona umekalia ndugu ndugu... mara ndugu waliniambia niombe mara wananiambia niende... sasa hao ndugu ndio wana uchungu na maisha yako kuzidi Mama yako mzazi na baba yako? hopeless kabisaHabari za asubuhi?
Nishaurini katika hili nimepata ajira Serikalini Upande wa afya clinical officer soon tunatakiwa kuripoti kazini .
Upande wa pili wazazi wanamiliki pharmacy 2 na maduka mawili ya jumla ya dawa na dispensary moja , wazazi hawataki niende kwenye ajira ya Serikalini wanataka nisimimamie biashara zao lakini ndugu wamenishauri niende kwenye ajira serikalini kwa sababu serikalini kuna security.
Nisaidieni ushauri mdogo wenu ktk hili .
Ktk familia tupo watoto 2 tu , mdogo wangu bado anasoma.umri nina miaka 24
Home Of Greater Thinkers Dare To Talk OpenMuda mwingine unaweza omba ushauri JF ukaambulia masimango.
Umeandika kwa usahihi kweli??..Home Of Greater Thinkers Dare To Talk Open