bnyanya
Senior Member
- Sep 27, 2013
- 178
- 62
Ndugu wana jf....kwa kweli nipo kwenye mtihani mkubwa sana na majaribu makubwa. Nimesoma mpaka elimu ya juu...sina kazi kwasasa. Yan wanafamilia plus ndugu zangu wananidharau mpaka daaah...kama kuna mtu imewahi kumtokea hali hii. Alifanyaje mpaka akafanikiwa??..au kuna mtu aliwahi kupitia hali hii??