johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,840
- 141,763
Kiukweli bunge letu bado halijarejea kwenye spidi na viwango kama inavyotakikana na ilivyotegemewa. Hivyo ni vema likajikita katika ubunifu na ikiwezekana Spika akope maarifa kwa kijana mchapa kazi anayeliongoza jiji mashuhuri la Tanzania, Dar es salaam RC Makonda!!