CHASHA FARMING
JF-Expert Member
- Jun 4, 2011
- 7,789
- 8,914
Ndo mwisho wako wa kuwaza? Katika maisha ya binadamu kuna wakati kuwaza hufikia tamati sasa naina na wewe ndo isha kitawaafrika hatujazaliwa kufanya biashara....sisi tumezaliwa kuwa watumwa wa kuajiriwa mambo ya biashara waachie wahindi
Sent using Jamii Forums mobile app