mangonifera indica
JF-Expert Member
- Dec 2, 2017
- 845
- 1,462
Habari doctors,
Nimekuwa muhanga wakung'oa meno mara kwa mara (magego) nahofia kuyamaliza yote ni umri bado ni kijana kwenye swala la usafi wa kinywa najitahidi kadri ya uwezo wangu swali langu ni kuwa nataka yaliyobaki niyafanyie root canal kuua mizizi alafu niyazibe yale yaliotoboka, itakuwa suluhisho.
Nimekuwa muhanga wakung'oa meno mara kwa mara (magego) nahofia kuyamaliza yote ni umri bado ni kijana kwenye swala la usafi wa kinywa najitahidi kadri ya uwezo wangu swali langu ni kuwa nataka yaliyobaki niyafanyie root canal kuua mizizi alafu niyazibe yale yaliotoboka, itakuwa suluhisho.