Shukrani mkuuTafuta uzi wa jamaa anaitwa kijana mpole ana hizo mashine local
Shukrani mkuu
Achana na hiyo kitu ndugu yangu, unataka kununua umaskini halafu ujinyonge. TRA Watakumaliza kabla hata hujaanza uzalishaji. Hizo fedha zako kaweke kwenye fixed deposit uandae kilimo cha umwagiliaji mjomba. Achana na hiyo kitu.Habari za mchana wakuu, kama kichwa kinavoeleza naomba kujua kwa wenye uzoefu nataka nianzishe kiwanda hapa home.
Naomba kujua
1.Capital nikiasi gani
2.Soko lake lipoje
3.Mateial.
A
Achana na hiyo kitu ndugu yangu, unataka kununua umaskini halafu ujinyonge.TRA Watakumaliza kabla hata hujaanza uzalishaji.Hizo fedha zako kaweke kwenye fixed deposit uandae kilimo cha umwagiliaji mjomba.Achana na hiyo kit
Duuuh hii ni hataree kwa taifa sidhan kama nchi itaendeleaA
Achana na hiyo kitu ndugu yangu, unataka kununua umaskini halafu ujinyonge.TRA Watakumaliza kabla hata hujaanza uzalishaji.Hizo fedha zako kaweke kwenye fixed deposit uandae kilimo cha umwagiliaji mjomba.Achana na hiyo kitu.
Kanuni ya biashara, fanya kitu unachohisi unaweza kukifanya, uwe una uelewa nacho na uwe na passion nacho. Kama hivi vitu anavyo muache afanye. Sasa hivi kuna wimbi la watu kukimbilia hii biashara kwakuwa tu wamesikia inalipa au wameona wale vijana wa maswa chalkMimi sikushauri huko unakotaka kujipeleka, kwa hali ya kibiashara ilivyo sasa jaribu kuwaza product nyingine . Angalau inayohusiana na vyakula au masuala ya afya ndio kuna unafuu.
Ni bora utengeneze mafuta ya nazi kuliko kutengeneza chaki.
Ni bora uwaze hata kufanya biashara ya nafaka.
Ni bora ufikirie hata biashara ya mayai au kufuga kuku wa mayai kisha unauza mayai kwa jumla.
Ni bora uanzishe kituo cha tuition na english course au OPEN School kuliko biashara ya chaki.
Shukrani mkuu kwa ushauriMimi sikushauri huko unakotaka kujipeleka, kwa hali ya kibiashara ilivyo sasa jaribu kuwaza product nyingine . Angalau inayohusiana na vyakula au masuala ya afya ndio kuna unafuu.
Ni bora utengeneze mafuta ya nazi kuliko kutengeneza chaki.
Ni bora uwaze hata kufanya biashara ya nafaka.
Ni bora ufikirie hata biashara ya mayai au kufuga kuku wa mayai kisha unauza mayai kwa jumla.
Ni bora uanzishe kituo cha tuition na english course au OPEN School kuliko biashara ya chaki.
Mim nataka nifanyie kijijini sio town maana nimeona huko hakuna watengenezaji.Kanuni ya biashara, fanya kitu unachohisi unaweza kukifanya, uwe una uelewa nacho na uwe na passion nacho. Kama hivi vitu anavyo muache afanye. Sasa hivi kuna wimbi la watu kukimbilia hii biashara kwakuwa tu wamesikia inalipa au wameona wale vijana wa maswa chalk
Wateja wa hii biashara ni wenye stationery sababu daily production ni kubwa sana na hivyo ni lazima utafute soko mbadala ili uuze kwa jumla, kazi kubwa ni sales.. fanya utafiti usio na mashaka kabla hujaingiaMim nataka nifanyie kijijini sio town maana nimeona huko hakuna watengenezaji.
Sawa mkuu ngoja nifwatilieWateja wa hii biashara ni wenye stationery sababu daily production ni kubwa sana na hivyo ni lazima utafute soko mbadala ili uuze kwa jumla, kazi kubwa ni sales.. fanya utafiti usio na mashaka kabla hujaingia